Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hadi kina Jiwe wamemshindwa jinsi ya kumthibiti
Na hilo busu analopigwa na hako ka dada ka chadema vipi?Ataitwaje Wakati ndio ukweli aliouongea Mh Sipikaa!!!
Huu wimbo 'daddy finger'??
Kuna alielewa??
17 wamemlalia kifuani ila 2 ambao ni mdee na bulaya ndo wanamlamba sikio kumpandisha hisia za kuwalindaYule msanii maarufu wa michoro ya katuni au vibwengo kama kwetu sisi uswazi tunavyo viita ameibukia mjengoni kwa Ndugai.
Binafsi nimeshindwa kuitafsiri hiyo picha nini ina maanisha,hivyo wadau wenye ujuzi wa haya mambo tunaomba mtujulishe.
View attachment 1638090
Aitwe kwani hapo kamchora nani.Ataitwa kwenye kamati ya chama ya kinga na sheria maana this time hatuna bunge
Mungu mbariki Mdee na wenzieDunia ni uwanja wa fujo hivyo mwenye nguvu ndiye anayeweza kucheza
Wewe hujui amemchora nani?Aitwe kwani hapo kamchora nani.
Umeona jina la kiongozi yeyote hapo?
Yeye kachora picha za watu ila hajachora mtu.
Hapo hajaandika jina je kama wanafafana na huyo uliemuwazaWewe hujui amemchora nani?
TusichoshaneHapo hajaandika jina je kama wanafafana na huyo uliemuwaza