Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Shida tena ni hilo jina BRO. Alipaswa aandike WEWE NYANG'AU! 🙂"Bro" ni serikali ya Jamhuri ya Tanzania, na huyo mnyama ni sisi Wananchi, Tumekamukia maziwa kupitia kodi hadi tumechakaa, Sasa serikali inaona haitoshi inaendelea kutukamua tu
Ila KP Sijui Kawaza nini?!!!Anakamua mbupu
Anakamua sehemu ya hajaAu imekamuliwa hadi imegeuka uvimbe wa saratani?