Kipanya: Mizigo yenu ni hii hii kama yetu ama ya kwenu iko dry?

Kipanya: Mizigo yenu ni hii hii kama yetu ama ya kwenu iko dry?

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
"Hivi wale wanaotumia 'tishu' tu kujisafisha chooni, huwa wanashusha mizigo hii hii tunayoishusha sisi au wenzetu mizigo yao inakuwa dry, odourless and sophisticated?"

IMG_20221011_172721.jpg
 
Kwahiyo ukristo na uzungu ni kuchamba kwa tishu
Yes, Ukristo ni utamaduni wa kizungu, Uislamu ni utamaduni wa Kiarabu. Kwani kushika mavi nako kunahitaji uvumilivu! Unaweka mkono unayavuta kwenye vidole unaondoka.

Unatembea na chupa ya, maji, unakojoa unaosha dhakari bila kunawa na sabuni! acha hizo bwana!
 
Imeruhusiwa kutumika pale tu maji yakikosekana kabisa kabisa (dharura) na nikurekebishe anayekharamisha vitu ni ALLAH pekee sasa wapi amekharamisha kujiswafi kwa kisichokuwa maji?
 
Yes, Ukristo ni utamaduni wa kizungu, Uislamu ni utamaduni wa Kiarabu. Kwani kushika mavi nako kunahitaji uvumilivu! Unaweka mkono unayavuta kwenye vidole unaondoka.

Unatembea na chupa ya, maji, unakojoa unaosha dhakari bila kunawa na sabuni! acha hizo bwana!
Kumbuka wanaume wanatakiwa kukojoa wamechuchumaa mkuu,kwa mujibu wa Sheria za dini Yao.
 
Kumbuka wanaume wanatakiwa kukojoa wamechuchumaa mkuu,kwa mujibu wa Sheria za dini Yao.
hayo hawayaoni. Ipi bora kushika mavi na vidole, yanaingia kwenye kucha unaondoka baada ya kunawa vimaji kiduchu au kupangusa na tissue..... tupime yote bila upendeleo
 
hayo hawayaoni. Ipi bora kushika mavi na vidole, yanaingia kwenye kucha unaondoka baada ya kunawa vimaji kiduchuau kupangusa na tissue..... tupime yote bila upendeleo
Usafi halisi Ni kushika mavi na vidole Baada ya hapo unasafisha vidole kwa maji Safi,na sio kutumia Toilet paper na kubakiza chembechembe za mavi na mabaki ya karatasi matakoni.

Yaani mtu mzima unakuta anatembea na mabaki ya mavi katikati ya makalio.
 
Yes, Ukristo ni utamaduni wa kizungu, Uislamu ni utamaduni wa Kiarabu. Kwani kushika mavi nako kunahitaji uvumilivu! Unaweka mkono unayavuta kwenye vidole unaondoka.

Unatembea na chupa ya, maji, unakojoa unaosha dhakari bila kunawa na sabuni! acha hizo bwana!
Uislam ulikataza tamaduni za kiarabu, uislam siyo utamaduni wa kiarabu
 
Back
Top Bottom