Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makubazi Unakua Maana yake mkuu?Kwa sisi mnaotuita wavaa kobazi hio kitu kharam shee
Mimi nmesema kobazi wewe umesema hio ziba ku.. ni weweMakubazi Unakua Maana yake mkuu?
Yes, Ukristo ni utamaduni wa kizungu, Uislamu ni utamaduni wa Kiarabu. Kwani kushika mavi nako kunahitaji uvumilivu! Unaweka mkono unayavuta kwenye vidole unaondoka.Kwahiyo ukristo na uzungu ni kuchamba kwa tishu
huko ndani yanakokaa unasemaje?kweli toilet paper haisafishi bora uwe na wipes hapo sawa
Je kushika uharo na mikono/vidole, ipi ina nafuu?Tena ukute choo cha kukaa, ila mtu bado anatumia toilet paper only.
Watupe siri za mizigo yao kuwa dry.
Kwahiyo ukitumia maji huwa unachokonoa na maji huko ndani kabisa?huko ndani yanakokaa unasemaje?
Unaonaje kila ukienda kumtembelea ndugu yako sahani uliyolia anaifuta tu na tissue halafu kesho anakuwekea tena hiyo hiyo chakula?Je kushika uharo na mikono/vidole, ipi ina nafuu?
Kumbuka wanaume wanatakiwa kukojoa wamechuchumaa mkuu,kwa mujibu wa Sheria za dini Yao.Yes, Ukristo ni utamaduni wa kizungu, Uislamu ni utamaduni wa Kiarabu. Kwani kushika mavi nako kunahitaji uvumilivu! Unaweka mkono unayavuta kwenye vidole unaondoka.
Unatembea na chupa ya, maji, unakojoa unaosha dhakari bila kunawa na sabuni! acha hizo bwana!
hayo hawayaoni. Ipi bora kushika mavi na vidole, yanaingia kwenye kucha unaondoka baada ya kunawa vimaji kiduchu au kupangusa na tissue..... tupime yote bila upendeleoKumbuka wanaume wanatakiwa kukojoa wamechuchumaa mkuu,kwa mujibu wa Sheria za dini Yao.
Usafi halisi Ni kushika mavi na vidole Baada ya hapo unasafisha vidole kwa maji Safi,na sio kutumia Toilet paper na kubakiza chembechembe za mavi na mabaki ya karatasi matakoni.hayo hawayaoni. Ipi bora kushika mavi na vidole, yanaingia kwenye kucha unaondoka baada ya kunawa vimaji kiduchuau kupangusa na tissue..... tupime yote bila upendeleo
Uislam ulikataza tamaduni za kiarabu, uislam siyo utamaduni wa kiarabuYes, Ukristo ni utamaduni wa kizungu, Uislamu ni utamaduni wa Kiarabu. Kwani kushika mavi nako kunahitaji uvumilivu! Unaweka mkono unayavuta kwenye vidole unaondoka.
Unatembea na chupa ya, maji, unakojoa unaosha dhakari bila kunawa na sabuni! acha hizo bwana!
Kata kucha, acha kufuga uchafuhayo hawayaoni. Ipi bora kushika mavi na vidole, yanaingia kwenye kucha unaondoka baada ya kunawa vimaji kiduchuau kupangusa na tissue..... tupime yote bila upendeleo