Kipanya: Mizigo yenu ni hii hii kama yetu ama ya kwenu iko dry?

Kipanya: Mizigo yenu ni hii hii kama yetu ama ya kwenu iko dry?

Wipes ndio nini tena dada🥵🥵🥵
Ni tissue laini zilizotengenezwa kwa vitambaa laini sana au karatasi na huwa zimewekwa maji maji kwa ajili ya kujifutia mikono au kunako. Mara nyingi watu huzitumia wakiwa safarini.
Zinatumika sana kwenye ndege na pia wengi hununua kusafishia watoto wanapojisaidia
 
Ni tissue laini zilizotengenezwa kwa vitambaa laini sana au karatasi na huwa zimewekwa maji maji kwa ajili ya kujifutia mikono au kunako. Mara nyingi watu huzitumia wakiwa safarini.
Zinatumika sana kwenye ndege na pia wengi hununua kusafishia watoto wanapojisaidia
Mkivimba tundu la haja kubwa mtamlaumu nani!?
 
Kweli toilet paper haisafishi bora uwe na wipes hapo sawa.
Pia napo haisaifishi,tumia maji tiririka dada itakuweka mbali magonjwa ya kijinga Urinary tract infection (UTI),Pelvic inflammatory disease (PID),papuchi kutoa harufu kali kama mzoga na mengineyo utakuja kunishukuru baadae.
 
Yap kwa wakristo acha waendelee kutumia toilet paper wenyewe kwani huo ni unyama mwingi au sio
sheria ya dini Ya kiislamu ukichamba lazima uingize kidole inchi 1 uchokoe vikimba vilivyo baki jamaa hodari sana wa kujitia madole hawa
 
Usafi? kwahiyo wazungu wachafu? Anayeyashika kwa vidole na kuyafukunyua na anyepangusa nani afadhali?
Akili kisoda wewe eeeenh,wewe ukitaka kula huwa unachukua tishu unapangusa mikono ndo unakula au una nawa mikono na maji,basi una2mia let's say uma au kijiko,jee kinaoshwa na maji au kinapanguswa na tishu,

Punguza kuwa na akili mgando
 
sheria ya dini Ya kiislamu ukichamba lazima uingize kidole inchi 1 uchokoe vikimba vilivyo baki jamaa hodari sana wa kujitia madole hawa
Yap kwa sababu uislam ni usafi,isitoshe mtu akiingiza kidole mwenyewe si tatizo kwa kuwa anajisafisha,pia mtu anapo oshwa hivyo hivyo pia,uislam ni usafi ndugu yangu so proud to be a muslim.

Toka nianze kufata taratibu za kwenda haja sijawahi kupata UTI.
 
Pia napo haisaifishi,tumia maji tiririka dada itakuweka mbali magonjwa ya kijinga Urinary tract infection (UTI),Pelvic inflammatory disease (PID),papuchi kutoa harufu kali kama mzoga na mengineyo utakuja kunishukuru baadae.
Me kwanza situmiagi hivyo
Nilikuwa nawajibu watumia toilet paper kwamba bora hata wangetumia wipes kuliko tp kavu sana....
BTW me sinuki punani
 
Mtu amekula ugali dagaa akaongeza wali nyama usiku wakati huo asubuh amekula magimbi halafu atumie tissue hayo mambo labda wazungu ndo wanaweza ila sisi hatuna huo ustaarabu
 
Back
Top Bottom