Kipanya: Mizigo yenu ni hii hii kama yetu ama ya kwenu iko dry?

Kipanya: Mizigo yenu ni hii hii kama yetu ama ya kwenu iko dry?

Usafi halisi Ni kushika mavi na vidole Baada ya hapo unasafisha vidole kwa maji Safi,na sio kutumia Toilet paper na kubakiza chembechembe za mavi na mabaki ya karatasi matakoni.

Yaani mtu mzima unakuta anatembea na mabaki ya mavi katikati ya makalio.
Nimechekaaaaaaa
 
hayo hawayaoni. Ipi bora kushika mavi na vidole, yanaingia kwenye kucha unaondoka baada ya kunawa vimaji kiduchu au kupangusa na tissue..... tupime yote bila upendeleo
Unanawa vizuri tu na sabuni hakuna Cha maji kiduchu
 
Usafi halisi Ni kushika mavi na vidole Baada ya hapo unasafisha vidole kwa maji Safi,na sio kutumia Toilet paper na kubakiza chembechembe za mavi na mabaki ya karatasi matakoni.

Yaani mtu mzima unakuta anatembea na mabaki ya mavi katikati ya makalio.
[emoji23][emoji1787]
 
Usafi? kwahiyo wazungu wachafu? Anayeyashika kwa vidole na kuyafukunyua na anyepangusa nani afadhali?
Akili za kitumwa hizi kwavile mzungu anafanya unaona yuko sawa endelea kukaa na mavi acha wastaarabu wajisafishe
 
Mie hata mkojo tu siwezi kupangusha na toilet paper naona nanuka njia nzima.
Ustaarabu ni kutumia maji halafu unajikausha na tp,tissue au wipes.
 
Hua unatakiwa utumie maji tiririka yakutosha kisha chukua tissue ya kutosha kufuta unyevunyevu wa maji yale kule mahala, baada ya hapo nawa na sabuni na maji ya kutosha halafu kausha mikono na kitambaa kikavu kisha mikononi paka sanitizer yako hata ya vestline hapo unakua safi kabisa, kwa sisi wanaume ukikojoa umemaliza safisha kichwa cha uume na maji kisha usafishe mikono yako na sabuni, kwa wanawake hakikisha unatumia maji kutawaza kwa kupeleka nyuma halafu baadae tumia maji kuleta mbele kuepuka kukokota kinyesi kwenye uchi wako ambapo utasababisha bakteria wabaya kupenya pale na kunasa hata UTI sugu, huo ndio ustaarabu
 
Akili kisoda wewe eeeenh,wewe ukitaka kula huwa unachukua tishu unapangusa mikono ndo unakula au una nawa mikono na maji,basi una2mia let's say uma au kijiko,jee kinaoshwa na maji au kinapanguswa na tishu,

Punguza kuwa na akili mgando
Akujibu nitag
 
Mie hata mkojo tu siwezi kupangusha na toilet paper naona nanuka njia nzima.
Ustaarabu ni kutumia maji halafu unajikausha na tp,tissue au wipes.

Watu wengi hata kuoga hawajui ukumbuke na kuswaki ndio kabisa, mtu anaoga hasafishi tundu za pua, katikati ya vidole vya miguu hagusi, pumbu hasafishi, katikati ya mapaja ndio anapapita kama kituo cha polisi, hapo anaoga dakika moja ashatoka, ataacha kunuka huyo? Haya kuswaki unakuta mtu anapiga dry yaani kinywa hagusi ulimi, kuta ya juu na chini halafu hasuuzi kinywa na maji na mswaki ili kuondoa shombo ya dawa ya meno unakuta unaongea na mtu ananuka whitedent muda wote au micolgate, hayuko current kujua kuna dawa nyingine kama dabuur au closeup au sensodyne, hajui shaver hata za buku anyoe nywele binafsi, hajui walau kumuona dentist walau asafishe kinywa mara mbili kwa mwaka, halafu ukikuta mtu anajifanya kutoa hoja unamcheki unaona huyu basi tu wengine wasomi watu wazima kabisa .
 
Bora kushika unasafisha na maji kuliko kuacha yamegandana mk****ni
Kweli, kila mtu na imani yake, dini hiyo na si weweeeeeeeeeee? Mbona huko tumboni yamegandamana? nako safisha basi.... Unanawa saa ngapi na sabuni gani, tunawaona mnapokuwa safarini, sabuni unaipata wapi na maji ya kutosha....
 
Watu wengi hata kuoga hawajui ukumbuke na kuswaki ndio kabisa, mtu anaoga hasafishi tundu za pua, katikati ya vidole vya miguu hagusi, pumbu hasafishi, katikati ya mapaja ndio anapapita kama kituo cha polisi, hapo anaoga dakika moja ashatoka, ataacha kunuka huyo? Haya kuswaki unakuta mtu anapiga dry yaani kinywa hagusi ulimi, kuta ya juu na chini halafu hasuuzi kinywa na maji na mswaki ili kuondoa shombo ya dawa ya meno unakuta unaongea na mtu ananuka whitedent muda wote au micolgate, hayuko current kujua kuna dawa nyingine kama dabuur au closeup au sensodyne, hajui shaver hata za buku anyoe nywele binafsi, hajui walau kumuona dentist walau asafishe kinywa mara mbili kwa mwaka, halafu ukikuta mtu anajifanya kutoa hoja unamcheki unaona huyu basi tu wengine wasomi watu wazima kabisa .
Kipato mkuu... mtu ashazoea whitedent ya 1,500 halafu umuambie mambo ya sensodyine ya 30,000 ni ngumu.

Hiyo ya kumuona dentist mara mbili kwa mwaka pia sio kitu ya maskini... mi enyewe nikiri sijawahi fanya hivo.
 
origin ya uislamu ni ipi?Mecca ni wapi?origin ya ukristo ni wapi? ngoja niacha kubishana ..kwaheri
Ukiona makatazo,Haram ndani ya Qur'an jua walikua wakikatazwa waarabu..yaani utamaduni ulikua kinyume na Qur'an,origin ya uislam ni Qur'an
 
Back
Top Bottom