Hii mbona iko wazi hao si wazee wa..............
Weka iyo link au picha ya katuni.Mtangazaji wa kituo cha clouds fm na mchoraji nguli wa vibonzo nchini Ibrahimu Masoid maarufu Kama Masoid Kipanya..amesema kuwa watu wamekuwa wakitumia nguvu na akli nyingi kutafsri katuni zake jambo ambalo limekuwa likiwatoa nje ya uhalisia wa maana ya vibonzo hivyo ...na wengi wao kujikuta wakimporomoshea matusi, huku wakimtisha .....amesema ni akli ndogo Tu inayoweza kutumika kutafsri katuni hzo na zkaeleweka...kipanya alisema hayo wakat akiwa kwenye kpind cha power breakfast...katkat ya wiki hii. alippkua akikelezea issue ya makinikia
Hata mm Mara nyingi huwa simuelewiNa ni kweli mkuu sometimes huwa namuelewa sometimes ndio hivyo simuelewi.
Nyingine ni rahisi lakini sio zoteHata mm Mara nyingi huwa simuelewi
Hii siyo ya kipanya mkuu!View attachment 525624
Haya hii hai hitaji nguvu nyingi kuitafasiri, maana unaweza mkosea mkulu
Wanaomini katuni wengi ni mabogus. Katuni ni sawa na kusema " I am responsible for what i wrote and not for what you understood from my writing "
Kutukana wanafamilia wako ili usifiwe na wazungu, wakupe chochote mkono uende kinywaniView attachment 525624
Haya hii hai hitaji nguvu nyingi kuitafasiri, maana unaweza mkosea mkulu
Anaitwa Ali Masoud, sio Ibrahim Masoid...Mtangazaji wa kituo cha clouds fm na mchoraji nguli wa vibonzo nchini Ibrahimu Masoid maarufu Kama Masoid Kipanya...
Hii katuni niliiangalia mara nyingi sikuielewa kabisa. Baada ya wiki nikaelewa ujumbe muhimu uliokuwepo kwenye hiyo katuni.
Hapo anamaanisha mwenye Mbwa yupo mahali amepoa tu....sie twamlindia tu.
we jamaa una akili kinoma nadhan iq yako ni 210Tafsiri yke ni kwamba hao mbwa wameshindwa kufungua cheni zilizopo shingoni mwao, wataweza huo mnyororo??