Kipara kimeanza kuota

Kipara kimeanza kuota

Karibu nikupatie black castor oil...inasaidia sana
255655751195_status_780fe76745a044dba06feb225a5efe84.jpg
 
Rudisha kadi ya ccm nywele zitarudi hiyo ni Mwenyezi Mungu anakuonesha maajabu
 
Sikuwahi kufikiri kama itatokea siku nikawa napoteza nywele aisee.

Kwa mbaali kimeanza kuja. Na nywele nyeupe nazo zimeanza.

Sasa nakua nanyoa Kila baada ya wiki mbili.

Sitaki kuamini nimefikia hatua ya kuwa na kipara.

Please help.
Muulize jamaa wa kuitwa Kipara kipya akupe mbinu.
 
Nadhani hakuna dawa ya upara na kama ingekuwepo wale wadosi wenye vipara na mapesa wala tusingewaona navyo.Hapo cha msingi ni dongo tu mwenyewe nina upara siku hizi kila wiki ni kunyoa na kadri siku zinavyosidi kusonga nacho kinakuja kwa kasi ina maana huko mbele nitanyoa baada ya siku mbili
 
Back
Top Bottom