Kipato Cha Diamond Platinumz, Je Wajua Analipwa Ngapi Kufanya Shoo Moja?!?

Kipato Cha Diamond Platinumz, Je Wajua Analipwa Ngapi Kufanya Shoo Moja?!?

Hapa tunaongelea show zinAzosimamiwa na mapromotor, hayana udhamini wa Vodacom wala Airtel au chochote, na promota anagharamia nauri na madancer wake, hotel na chakula, alipie ukumbi, wasimamizi mabaunsa nae apate faida, itatoka wapi? Pia show show ya mwimbaji mmoja hainogi inabidi uwachanganye ma artists kama watatu au wanne, ndiyo inakuwa kivutio nao walipwe! Hao waongo wanalipwa ml 10 au 15 tu!

Kuna tatizo ambalo bado hujaelewa...shoo ikisimamiwa na promoter lazima wahisani wataingilia kati. Hawawezi kuacha kutangaza biashara zao. Kama wewe ni shabiki wa kuenda kuangalia shoo utagundua kuwa kuna wadhamini wamejitokeza, iwe imesmamiwa na promoter au la. So pesa hapo zipo.

Kuhusu wasanii wengi hilo sijaliongea...naongea kuhusu Diamond pekee hapa.
Halafu tena chanzo cha takwimu hii yatoka kutoka Kenya. Inamaana kuwa kila akitaka kupiga shoo lazima apewe hicho kiasi cha pesa. Kiingio kumwona Platinumz Kenya ni tkrbn Tsh. 20,000 mtu wa kawaida na 30,000 VIP. Hapo tayari ni excess.
Bongo sababu ni nchi ya nyumbani labda hapo kumkodisha itakuwa gharama ya chini....
....wee kwani huoni huyu staa ana kipato cha juu? Kama tu video ya numbr one remix ilikuwa milioni 40, shoo moja ni nini kwake!
 
Kuna tatizo ambalo bado hujaelewa...shoo ikisimamiwa na promoter lazima wahisani wataingilia kati. Hawawezi kuacha kutangaza biashara zao. Kama wewe ni shabiki wa kuenda kuangalia shoo utagundua kuwa kuna wadhamini wamejitokeza, iwe imesmamiwa na promoter au la. So pesa hapo zipo.

Kuhusu wasanii wengi hilo sijaliongea...naongea kuhusu Diamond pekee hapa.
Halafu tena chanzo cha takwimu hii yatoka kutoka Kenya. Inamaana kuwa kila akitaka kupiga shoo lazima apewe hicho kiasi cha pesa. Kiingio kumwona Platinumz Kenya ni tkrbn Tsh. 20,000 mtu wa kawaida na 30,000 VIP. Hapo tayari ni excess.
Bongo sababu ni nchi ya nyumbani labda hapo kumkodisha itakuwa gharama ya chini....
....wee kwani huoni huyu staa ana kipato cha juu? Kama tu video ya numbr one remix ilikuwa milioni 40, shoo moja ni nini kwake!

Usititishwe na gharama za wasanii, ni waongo sana, music na bongo movie, utakuta verossa anakuambia amenunua million 25 wakati million 12 unapata, ni aina yao ya maisha wamejichukulia, eti mtu ameenda Dubai shopping ametumia dollar 40,000 wakati hiyo pesa unapata nguo nguo container moja, dollar 40,000 nguo zinakuja kwenye bag??!. Mimi hawanisumbui sababu mwenyewe mfanya biashara na natembea sana.
 
Hizo pesa angemaliziaa nyumba zake akaachana na upangaji ingekua amefanyaa la maana sanaaa
 
Usititishwe na gharama za wasanii, ni waongo sana, music na bongo movie, utakuta verossa anakuambia amenunua million 25 wakati million 12 unapata, ni aina yao ya maisha wamejichukulia, eti mtu ameenda Dubai shopping ametumia dollar 40,000 wakati hiyo pesa unapata nguo nguo container moja, dollar 40,000 nguo zinakuja kwenye bag??!. Mimi hawanisumbui sababu mwenyewe mfanya biashara na natembea sana.


Kuna ule msemo unaosema 'Mgala muue lakini haki yake mpe'. Wasanii wakibongo wanajitahidi sana so kama wanachukiwa pia zile bidii wanazozifanya hata kama ni kidogo wapewe pongezi
 
tupo kwenye industry na tunajua?
HAKUNA MSANII ANAELIPWA > $10000 hapa TZ..
 
tupo kwenye industry na tunajua?
HAKUNA MSANII ANAELIPWA > $10000 hapa TZ..

Poa mtaendelea kuwaza kuwa Diamond anauza unga...
Lakini nyinyi mkipiga domo, wenzenu wanacheka wakienda kuchukua mihela benki.
 
Hiko chanzo kimetoka kwa mwanahabari wa Kenya Willy M Tuva, hua ana kipindi cha mambo mseto katika runinga ya Citizen...inamaanisha akipiga shoo nje anapata hizo pesa

Jamaa mbona muna bifu za kijinga na wasanii ama mwalipwa kumkandamiza Diamond? Kama nyinyi hamumtaki Diamond bana Nigeria washamkubali(internationale)

Hatumkandamizi ila na ww uache kudanganya mchana kweupe kisema kaingiza mkoko mpya kumbe used ya dar es salaam ww mkoko mpya halafu namba B?
 
Hatumkandamizi ila na ww uache kudanganya mchana kweupe kisema kaingiza mkoko mpya kumbe used ya dar es salaam ww mkoko mpya halafu namba B?

Huo uzi uliodai Diamond ana mkoko mpya mwanzilishi si mimi na hio habari sijaiskia popote bali humu ndani so siisupport
 
Nini v8 mama lao kawafunika
 

Attachments

  • 1390144161344.jpg
    1390144161344.jpg
    56 KB · Views: 61
Back
Top Bottom