Kipato chako ndicho kitakachokupatia mpenzi wa daraja lako

Kipato chako ndicho kitakachokupatia mpenzi wa daraja lako

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Huu ndio ukweli uliopo. Nafasi uliyonayo kwa sasa au nyanja yako ya kiuchumi uliyonayo ndiyo itakayokupatia mpenzi anayeendana na hali uliyonayo. Kama hali uliyonayo itabadilika huko mbeleni, pia na uhusiano utatikisika kwa sababu utakuwa uko daraja lingine la kukutana na wenye hilo daraja. Kama hukuweka misingi imara huko nyuma, mabadiliko lazima yataathiri uhusiano...ndio maana migogoro ya kimahusiano hutokea mara kwa mara. Na mara nyingi inakuwa hivi; uchumi wa mwanaume ukishuka...bibie lazima asumbue, na uchumi wa mwanaume ukipanda lazima kidume asumbue. Hiyo ndio asili ya mwanadamu.

Note: Uliyenaye ni kutokana na daraja la uchumi au wadhiwa ulionao.
 
Hivyo ee..basi sawa

Lakini cha msingi mwanaume jitahidi uwe na hela tu.hii si kwa sababu ya mwanamke hapana..ni kwa ajili yako pia.

😅😅mwisho wa siku ndo maisha lkni
 
Kuna mdada mmoja nilikutana nae huko fb baada ya kumtafuna akaniomba nauli nikamwambia ngoja nikupeleke na boda yangu akakataa basi sio kesi nikampa elfu 5 baada ya dakika 40 akanitumia sms kuwa mimi nawewe tuachane kuanzia leo usinitafute naona hatuaendani.
mwingine nikamgegeda yeye hakuomba hera wala nauli lakini baada ya muda akatuma sms jamani baby uminyima hata nauli,, hadi leo hajaiona hata mia yangu dini hairuhusu kununua k.
mwingine bwana haombagi hera siku mwoja akaniambia tatizo lako unafeli sehemu moja tu hutoagi hera ya sabuni nikaona siyo mbaya last week nimempelekea miche 3 ya jamaa na kiroba cha kg25 cha sabuni ya unga sahiz ninapoandika ameshaniblock
 
Hivyo ee..basi sawa

Lakini cha msingi mwanaume jitahidi uwe na hela tu.hii si kwa sababu ya mwanamke hapana..ni kwa ajili yako pia.

😅😅mwisho wa siku ndo maisha lkni
ha ha ha sasa si unajua maisha yanabadilika, iweje leo iwe poa kesho hali ya kipato inakuwa tete migogoro inakuwa haishi?
 
Kuna mdada mmoja nilikutana nae huko fb baada ya kumtafuna akaniomba nauli nikamwambia ngoja nikupeleke na boda yangu akakataa basi sio kesi nikampa elfu 5 baada ya dakika 40 akanitumia sms kuwa mimi nawewe tuachane kuanzia leo usinitafute naona hatuaendani.
mwingine nikamgegeda yeye hakuomba hera wala nauli lakini baada ya muda akatuma sms jamani baby uminyima hata nauli,, hadi leo hajaiona hata mia yangu dini hairuhusu kununua k.
mwingine bwana haombagi hera siku mwoja akaniambia tatizo lako unafeli sehemu moja tu hutoagi hera ya sabuni nikaona siyo mbaya last week nimempelekea miche 3 ya jamaa na kiroba cha kg25 cha sabuni ya unga sahiz ninapoandika ameshaniblock
Inabidi ubadilike
 
ha ha ha sasa si unajua maisha yanabadilika, iweje leo iwe poa kesho hali ya kipato inakuwa tete migogoro inakuwa haishi?
Ukikaa na kuyatafakari haya maisha ya mahusiano lazima mizizi ya kichwa isimame ukiyachukulia serious..kikubwa uhai bhana aaaaaa........🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Kuna mdada mmoja nilikutana nae huko fb baada ya kumtafuna akaniomba nauli nikamwambia ngoja nikupeleke na boda yangu akakataa basi sio kesi nikampa elfu 5 baada ya dakika 40 akanitumia sms kuwa mimi nawewe tuachane kuanzia leo usinitafute naona hatuaendani.
mwingine nikamgegeda yeye hakuomba hera wala nauli lakini baada ya muda akatuma sms jamani baby uminyima hata nauli,, hadi leo hajaiona hata mia yangu dini hairuhusu kununua k.
mwingine bwana haombagi hera siku mwoja akaniambia tatizo lako unafeli sehemu moja tu hutoagi hera ya sabuni nikaona siyo mbaya last week nimempelekea miche 3 ya jamaa na kiroba cha kg25 cha sabuni ya unga sahiz ninapoandika ameshaniblock
Nimecheka kiboya mno...kwa ufupi wewe ni kauzu😅😅😅aiseh
 
Ukikaa na kuyatafakari haya maisha ya mahusiano lazima mizizi ya kichwa isimame ukiyachukulia serious..kikubwa uhai bhana aaaaaa........🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
Ni kweli,mahusiano ndio yanaleta familia,na katika familia inabidi kuyaishi yale mahusiano. Inavyokuwa ndivyo sivyo ndio inakuwa balaa mpaka kuhisi dunia imekutenga. Nadhani ni kuwa makini tu katika kubahatisha kwa wale ambao bado kuwa kwenye mahusiano
 
Nisawa mkuu lakini me Nina ushuhuda kidogo ambao yamkini nikapinga hoja yako, Kuna jamaa anafamilia na anamiliki miladi mikubwa tu Ila maisha yake kipindi anaoa yalikuwa hovyo kuliko Tena hakuwa na kitu,Sasa kadri Mali zinavyozidi kuongezeka ndivyo mke wake anazidi kumegwa na vitoto vidogo visivyo hata na baiskeli,vinajua tu kununua pamba na fasheni mpya Tena kwapesa ya wazazi wao, Sasa hapo tatizo lipo wapi katka HIYO familia ya jamaa ambayebameamua kumnunulia mke gari Kari lakini mke NI mchepukaji
 
Ni kweli,mahusiano ndio yanaleta familia,na katika familia inabidi kuyaishi yale mahusiano. Inavyokuwa ndivyo sivyo ndio inakuwa balaa mpaka kuhisi dunia imekutenga. Nadhani ni kuwa makini tu katika kubahatisha kwa wale ambao bado kuwa kwenye mahusiano
Kweli kabisa aise...na ndo mpaka um’baatishe huyo mmoja wa pekee😅😅😅kazi lazima iwe pevu😄😄
 
Nisawa mkuu lakini me Nina ushuhuda kidogo ambao yamkini nikapinga hoja yako, Kuna jamaa anafamilia na anamiliki miladi mikubwa tu Ila maisha yake kipindi anaoa yalikuwa hovyo kuliko Tena hakuwa na kitu,Sasa kadri Mali zinavyozidi kuongezeka ndivyo mke wake anazidi kumegwa na vitoto vidogo visivyo hata na baiskeli,vinajua tu kununua pamba na fasheni mpya Tena kwapesa ya wazazi wao, Sasa hapo tatizo lipo wapi katka HIYO familia ya jamaa ambayebameamua kumnunulia mke gari Kari lakini mke NI mchepukaji
🙆‍♀️🙆‍♀️😳😳 mahusiano mahusiano 🙆‍♀️🙆‍♀️😢😢
 
Nisawa mkuu lakini me Nina ushuhuda kidogo ambao yamkini nikapinga hoja yako, Kuna jamaa anafamilia na anamiliki miladi mikubwa tu Ila maisha yake kipindi anaoa yalikuwa hovyo kuliko Tena hakuwa na kitu,Sasa kadri Mali zinavyozidi kuongezeka ndivyo mke wake anazidi kumegwa na vitoto vidogo visivyo hata na baiskeli,vinajua tu kununua pamba na fasheni mpya Tena kwapesa ya wazazi wao, Sasa hapo tatizo lipo wapi katka HIYO familia ya jamaa ambayebameamua kumnunulia mke gari Kari lakini mke NI mchepukaji
Mafanikio ya mtu yana mambo mengi mkuu, inawezekana ana nadhiri kwenye nguvu zake za kiume au yuko bize sana anashindwa kumkuna impasavyo mkewe.
 
Kuna mdada mmoja nilikutana nae huko fb baada ya kumtafuna akaniomba nauli nikamwambia ngoja nikupeleke na boda yangu akakataa basi sio kesi nikampa elfu 5 baada ya dakika 40 akanitumia sms kuwa mimi nawewe tuachane kuanzia leo usinitafute naona hatuaendani.
mwingine nikamgegeda yeye hakuomba hera wala nauli lakini baada ya muda akatuma sms jamani baby uminyima hata nauli,, hadi leo hajaiona hata mia yangu dini hairuhusu kununua k.
mwingine bwana haombagi hera siku mwoja akaniambia tatizo lako unafeli sehemu moja tu hutoagi hera ya sabuni nikaona siyo mbaya last week nimempelekea miche 3 ya jamaa na kiroba cha kg25 cha sabuni ya unga sahiz ninapoandika ameshaniblock
Hahahah wewe legend [emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda ila tangu nijue kuwa msela wangu ndo anammega mke wa huyo DON niliumia sana kulingana na huyo Don alicyo has kimaisha mpaka kutoboa
Inawezekana hata mumewe anaelewa anachofanya mkewe, sasa kutokana na siri ya mafanikio waliyonayo ndio maana unaona wanaishi jinsi walivyo.
 
Kuna mdada mmoja nilikutana nae huko fb baada ya kumtafuna akaniomba nauli nikamwambia ngoja nikupeleke na boda yangu akakataa basi sio kesi nikampa elfu 5 baada ya dakika 40 akanitumia sms kuwa mimi nawewe tuachane kuanzia leo usinitafute naona hatuaendani.
mwingine nikamgegeda yeye hakuomba hera wala nauli lakini baada ya muda akatuma sms jamani baby uminyima hata nauli,, hadi leo hajaiona hata mia yangu dini hairuhusu kununua k.
mwingine bwana haombagi hera siku mwoja akaniambia tatizo lako unafeli sehemu moja tu hutoagi hera ya sabuni nikaona siyo mbaya last week nimempelekea miche 3 ya jamaa na kiroba cha kg25 cha sabuni ya unga sahiz ninapoandika ameshaniblock
Kwa akili hizo unajiona kabisa uko sawa. Huyo wa mwisho ame explain tabia yako sugu.
 
Back
Top Bottom