Kipato chako ndicho kitakachokupatia mpenzi wa daraja lako

Kipato chako ndicho kitakachokupatia mpenzi wa daraja lako

Kuna mdada mmoja nilikutana nae huko fb baada ya kumtafuna akaniomba nauli nikamwambia ngoja nikupeleke na boda yangu akakataa basi sio kesi nikampa elfu 5 baada ya dakika 40 akanitumia sms kuwa mimi nawewe tuachane kuanzia leo usinitafute naona hatuaendani.
mwingine nikamgegeda yeye hakuomba hera wala nauli lakini baada ya muda akatuma sms jamani baby uminyima hata nauli,, hadi leo hajaiona hata mia yangu dini hairuhusu kununua k.
mwingine bwana haombagi hera siku mwoja akaniambia tatizo lako unafeli sehemu moja tu hutoagi hera ya sabuni nikaona siyo mbaya last week nimempelekea miche 3 ya jamaa na kiroba cha kg25 cha sabuni ya unga sahiz ninapoandika ameshaniblock
Kmmk
 
Unamaanisha kipato cha mtu kina amua mahusiano yake. Unamaana mapenzi ya dhati hayapo?. Yaani masikini hawezi kuwa na uhusiano na tajiri?.

Mimi nadhani huo ni mtazamo wako tu. Si ajabu umechagizwa na yale uliyokutana nayo ktk mahusiano uliyopitia.
 
Kuna mdada mmoja nilikutana nae huko fb baada ya kumtafuna akaniomba nauli nikamwambia ngoja nikupeleke na boda yangu akakataa basi sio kesi nikampa elfu 5 baada ya dakika 40 akanitumia sms kuwa mimi nawewe tuachane kuanzia leo usinitafute naona hatuaendani.
mwingine nikamgegeda yeye hakuomba hera wala nauli lakini baada ya muda akatuma sms jamani baby uminyima hata nauli,, hadi leo hajaiona hata mia yangu dini hairuhusu kununua k.
mwingine bwana haombagi hera siku mwoja akaniambia tatizo lako unafeli sehemu moja tu hutoagi hera ya sabuni nikaona siyo mbaya last week nimempelekea miche 3 ya jamaa na kiroba cha kg25 cha sabuni ya unga sahiz ninapoandika ameshaniblock
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dini hairuhusu kununua k.
Lakini dini hiyo hiyo inakuruhusu kubadilisha k kilasiku bila ndoa?
Weee bana wewe acha zako.
 
Kuna mdada mmoja nilikutana nae huko fb baada ya kumtafuna akaniomba nauli nikamwambia ngoja nikupeleke na boda yangu akakataa basi sio kesi nikampa elfu 5 baada ya dakika 40 akanitumia sms kuwa mimi nawewe tuachane kuanzia leo usinitafute naona hatuaendani.
mwingine nikamgegeda yeye hakuomba hera wala nauli lakini baada ya muda akatuma sms jamani baby uminyima hata nauli,, hadi leo hajaiona hata mia yangu dini hairuhusu kununua k.
mwingine bwana haombagi hera siku mwoja akaniambia tatizo lako unafeli sehemu moja tu hutoagi hera ya sabuni nikaona siyo mbaya last week nimempelekea miche 3 ya jamaa na kiroba cha kg25 cha sabuni ya unga sahiz ninapoandika ameshaniblock
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unamaanisha kipato cha mtu kina amua mahusiano yake. Unamaana mapenzi ya dhati hayapo?. Yaani masikini hawezi kuwa na uhusiano na tajiri?.

Mimi nadhani huo ni mtazamo wako tu. Si ajabu umechagizwa na yale uliyokutana nayo ktk mahusiano uliyopitia.
Ukitaka kujua chaguo lako,ngoja pato lako liongezeke
 
Ila dini inaruhusu uzinzi si ndio?
Kuna mdada mmoja nilikutana nae huko fb baada ya kumtafuna akaniomba nauli nikamwambia ngoja nikupeleke na boda yangu akakataa basi sio kesi nikampa elfu 5 baada ya dakika 40 akanitumia sms kuwa mimi nawewe tuachane kuanzia leo usinitafute naona hatuaendani.
mwingine nikamgegeda yeye hakuomba hera wala nauli lakini baada ya muda akatuma sms jamani baby uminyima hata nauli,, hadi leo hajaiona hata mia yangu dini hairuhusu kununua k.
mwingine bwana haombagi hera siku mwoja akaniambia tatizo lako unafeli sehemu moja tu hutoagi hera ya sabuni nikaona siyo mbaya last week nimempelekea miche 3 ya jamaa na kiroba cha kg25 cha sabuni ya unga sahiz ninapoandika ameshaniblock
 
Kuna mdada mmoja nilikutana nae huko fb baada ya kumtafuna akaniomba nauli nikamwambia ngoja nikupeleke na boda yangu akakataa basi sio kesi nikampa elfu 5 baada ya dakika 40 akanitumia sms kuwa mimi nawewe tuachane kuanzia leo usinitafute naona hatuaendani.
mwingine nikamgegeda yeye hakuomba hera wala nauli lakini baada ya muda akatuma sms jamani baby uminyima hata nauli,, hadi leo hajaiona hata mia yangu dini hairuhusu kununua k.
mwingine bwana haombagi hera siku mwoja akaniambia tatizo lako unafeli sehemu moja tu hutoagi hera ya sabuni nikaona siyo mbaya last week nimempelekea miche 3 ya jamaa na kiroba cha kg25 cha sabuni ya unga sahiz ninapoandika ameshaniblock
Sawa haijaruhusu kununua k lakini tuoneshe waliporuhusu kunyanduana kabla ya ndoa coz kosa umeona la mwenzio tu!!
 
Back
Top Bottom