Kipato chako ndicho kitakachokupatia mpenzi wa daraja lako

Kipato chako ndicho kitakachokupatia mpenzi wa daraja lako

Unamaanisha kipato cha mtu kina amua mahusiano yake. Unamaana mapenzi ya dhati hayapo?. Yaani masikini hawezi kuwa na uhusiano na tajiri?.

Mimi nadhani huo ni mtazamo wako tu. Si ajabu umechagizwa na yale uliyokutana nayo ktk mahusiano uliyopitia.
Wewe unaweza muoa mtoto wa dewji, bahresa au laizer? Kwanza mtakutana wapi ? Hata shule hawasomi kayumba? Nyumba zao ulinzi mkali? Sokoni anaenda house girl.
 
Nisawa mkuu lakini me Nina ushuhuda kidogo ambao yamkini nikapinga hoja yako, Kuna jamaa anafamilia na anamiliki miladi mikubwa tu Ila maisha yake kipindi anaoa yalikuwa hovyo kuliko Tena hakuwa na kitu,Sasa kadri Mali zinavyozidi kuongezeka ndivyo mke wake anazidi kumegwa na vitoto vidogo visivyo hata na baiskeli,vinajua tu kununua pamba na fasheni mpya Tena kwapesa ya wazazi wao, Sasa hapo tatizo lipo wapi katka HIYO familia ya jamaa ambayebameamua kumnunulia mke gari Kari lakini mke NI mchepukaji
Duh!!!
 
Huu ndio ukweli uliopo. Nafasi uliyonayo kwa sasa au nyanja yako ya kiuchumi uliyonayo ndiyo itakayokupatia mpenzi anayeendana na hali uliyonayo. Kama hali uliyonayo itabadilika huko mbeleni, pia na uhusiano utatikisika kwa sababu utakuwa uko daraja lingine la kukutana na wenye hilo daraja. Kama hukuweka misingi imara huko nyuma, mabadiliko lazima yataathiri uhusiano...ndio maana migogoro ya kimahusiano hutokea mara kwa mara. Na mara nyingi inakuwa hivi; uchumi wa mwanaume ukishuka...bibie lazima asumbue, na uchumi wa mwanaume ukipanda lazima kidume asumbue. Hiyo ndio asili ya mwanadamu.

Note: Uliyenaye ni kutokana na daraja la uchumi au wadhiwa ulionao.
Kama inakujaaa ivii alafu inakataaaaa
 
Wewe unaweza muoa mtoto wa dewji, bahresa au laizer? Kwanza mtakutana wapi ? Hata shule hawasomi kayumba? Nyumba zao ulinzi mkali? Sokoni anaenda house girl.
mkuu unaweza oa yeyote unaemtaka, suala ni kujiamini tu. Unaweza kuwa na pesa nyingi halafu mkeo akaishia kutembea na muuza machungwa.
Mapenzi ni dhana pana, pesa haitafsiri mapenzi.
 
mkuu unaweza oa yeyote unaemtaka, suala ni kujiamini tu. Unaweza kuwa na pesa nyingi halafu mkeo akaishia kutembea na muuza machungwa.
Mapenzi ni dhana pana, pesa haitafsiri mapenzi.
Kama mifano ipo ingekuwa vizuri zaidi
 
Huu ndio ukweli uliopo. Nafasi uliyonayo kwa sasa au nyanja yako ya kiuchumi uliyonayo ndiyo itakayokupatia mpenzi anayeendana na hali uliyonayo. Kama hali uliyonayo itabadilika huko mbeleni, pia na uhusiano utatikisika kwa sababu utakuwa uko daraja lingine la kukutana na wenye hilo daraja. Kama hukuweka misingi imara huko nyuma, mabadiliko lazima yataathiri uhusiano...ndio maana migogoro ya kimahusiano hutokea mara kwa mara. Na mara nyingi inakuwa hivi; uchumi wa mwanaume ukishuka...bibie lazima asumbue, na uchumi wa mwanaume ukipanda lazima kidume asumbue. Hiyo ndio asili ya mwanadamu.

Note: Uliyenaye ni kutokana na daraja la uchumi au wadhiwa ulionao.
Haukatazwi kwa mtazamo wako... ila unaweza kula pisi yiyote ile ukitaka.

Wanawake wengi wanapenda kuineshwa matarajio, hata km kiuhalisia hayawezekani. Kimsingi unatakiwa uwe fundi wa kupretend pale inapobidi... amini utawanyoa sana kipara.
 
Haukatazwi kwa mtazamo wako... ila unaweza kula pisi yiyote ile ukitaka.

Wanawake wengi wanapenda kuineshwa matarajio, hata km kiuhalisia hayawezekani. Kimsingi unatakiwa uwe fundi wa kupretend pale inapobidi... amini utawanyoa sana kipara.
Ku-pretend haina shida,je miaka yote ukiwa naye unaweza kupretend?
 
Huu ndio ukweli uliopo. Nafasi uliyonayo kwa sasa au nyanja yako ya kiuchumi uliyonayo ndiyo itakayokupatia mpenzi anayeendana na hali uliyonayo. Kama hali uliyonayo itabadilika huko mbeleni, pia na uhusiano utatikisika kwa sababu utakuwa uko daraja lingine la kukutana na wenye hilo daraja. Kama hukuweka misingi imara huko nyuma, mabadiliko lazima yataathiri uhusiano...ndio maana migogoro ya kimahusiano hutokea mara kwa mara. Na mara nyingi inakuwa hivi; uchumi wa mwanaume ukishuka...bibie lazima asumbue, na uchumi wa mwanaume ukipanda lazima kidume asumbue. Hiyo ndio asili ya mwanadamu.

Note: Uliyenaye ni kutokana na daraja la uchumi au wadhiwa ulionao.
Mkuu ukweli mtu umenigusa direct
 
Nini maana ya kuwa tajiri?

Tunatofautiana mtazamo, Kwa Mtazamo wangu laizer si tajiri, ana sh billion 13, majukumu ya watoto 30 na wake 4..hivyo billion 13 cyo hela nyingi sana kwake..Hata kwa kidume single, Dola million 6 (tsh billion 13) na ushee ni pesa nyingi, ila kwa marekani huezi ishi lifestyle kitajiri kwa miaka 5 (billion 13)

Kwa mtazamo wangu, Matajiri ni kama kina bakhresa, the late dr mengi, baba ake dewji (sio mo) bcoz wana assets za kuwaingizia mamilioni ya dola kila mwaka so wanaeza ishi kitajiri nchi yoyote ile duniani.. Equation x
 
Back
Top Bottom