clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,387
- 2,516
Wewe unaweza muoa mtoto wa dewji, bahresa au laizer? Kwanza mtakutana wapi ? Hata shule hawasomi kayumba? Nyumba zao ulinzi mkali? Sokoni anaenda house girl.Unamaanisha kipato cha mtu kina amua mahusiano yake. Unamaana mapenzi ya dhati hayapo?. Yaani masikini hawezi kuwa na uhusiano na tajiri?.
Mimi nadhani huo ni mtazamo wako tu. Si ajabu umechagizwa na yale uliyokutana nayo ktk mahusiano uliyopitia.
Duh!!!Nisawa mkuu lakini me Nina ushuhuda kidogo ambao yamkini nikapinga hoja yako, Kuna jamaa anafamilia na anamiliki miladi mikubwa tu Ila maisha yake kipindi anaoa yalikuwa hovyo kuliko Tena hakuwa na kitu,Sasa kadri Mali zinavyozidi kuongezeka ndivyo mke wake anazidi kumegwa na vitoto vidogo visivyo hata na baiskeli,vinajua tu kununua pamba na fasheni mpya Tena kwapesa ya wazazi wao, Sasa hapo tatizo lipo wapi katka HIYO familia ya jamaa ambayebameamua kumnunulia mke gari Kari lakini mke NI mchepukaji
Kama inakujaaa ivii alafu inakataaaaaHuu ndio ukweli uliopo. Nafasi uliyonayo kwa sasa au nyanja yako ya kiuchumi uliyonayo ndiyo itakayokupatia mpenzi anayeendana na hali uliyonayo. Kama hali uliyonayo itabadilika huko mbeleni, pia na uhusiano utatikisika kwa sababu utakuwa uko daraja lingine la kukutana na wenye hilo daraja. Kama hukuweka misingi imara huko nyuma, mabadiliko lazima yataathiri uhusiano...ndio maana migogoro ya kimahusiano hutokea mara kwa mara. Na mara nyingi inakuwa hivi; uchumi wa mwanaume ukishuka...bibie lazima asumbue, na uchumi wa mwanaume ukipanda lazima kidume asumbue. Hiyo ndio asili ya mwanadamu.
Note: Uliyenaye ni kutokana na daraja la uchumi au wadhiwa ulionao.
mkuu unaweza oa yeyote unaemtaka, suala ni kujiamini tu. Unaweza kuwa na pesa nyingi halafu mkeo akaishia kutembea na muuza machungwa.Wewe unaweza muoa mtoto wa dewji, bahresa au laizer? Kwanza mtakutana wapi ? Hata shule hawasomi kayumba? Nyumba zao ulinzi mkali? Sokoni anaenda house girl.
Ndio ivyo mkuu,kipato chako ndio kinakupa mazingira ya kukutana na anayeendana na kipato chakoKama inakujaaa ivii alafu inakataaaaa
Kama mifano ipo ingekuwa vizuri zaidimkuu unaweza oa yeyote unaemtaka, suala ni kujiamini tu. Unaweza kuwa na pesa nyingi halafu mkeo akaishia kutembea na muuza machungwa.
Mapenzi ni dhana pana, pesa haitafsiri mapenzi.
Haukatazwi kwa mtazamo wako... ila unaweza kula pisi yiyote ile ukitaka.Huu ndio ukweli uliopo. Nafasi uliyonayo kwa sasa au nyanja yako ya kiuchumi uliyonayo ndiyo itakayokupatia mpenzi anayeendana na hali uliyonayo. Kama hali uliyonayo itabadilika huko mbeleni, pia na uhusiano utatikisika kwa sababu utakuwa uko daraja lingine la kukutana na wenye hilo daraja. Kama hukuweka misingi imara huko nyuma, mabadiliko lazima yataathiri uhusiano...ndio maana migogoro ya kimahusiano hutokea mara kwa mara. Na mara nyingi inakuwa hivi; uchumi wa mwanaume ukishuka...bibie lazima asumbue, na uchumi wa mwanaume ukipanda lazima kidume asumbue. Hiyo ndio asili ya mwanadamu.
Note: Uliyenaye ni kutokana na daraja la uchumi au wadhiwa ulionao.
Ku-pretend haina shida,je miaka yote ukiwa naye unaweza kupretend?Haukatazwi kwa mtazamo wako... ila unaweza kula pisi yiyote ile ukitaka.
Wanawake wengi wanapenda kuineshwa matarajio, hata km kiuhalisia hayawezekani. Kimsingi unatakiwa uwe fundi wa kupretend pale inapobidi... amini utawanyoa sana kipara.
Mkuu ukweli mtu umenigusa directHuu ndio ukweli uliopo. Nafasi uliyonayo kwa sasa au nyanja yako ya kiuchumi uliyonayo ndiyo itakayokupatia mpenzi anayeendana na hali uliyonayo. Kama hali uliyonayo itabadilika huko mbeleni, pia na uhusiano utatikisika kwa sababu utakuwa uko daraja lingine la kukutana na wenye hilo daraja. Kama hukuweka misingi imara huko nyuma, mabadiliko lazima yataathiri uhusiano...ndio maana migogoro ya kimahusiano hutokea mara kwa mara. Na mara nyingi inakuwa hivi; uchumi wa mwanaume ukishuka...bibie lazima asumbue, na uchumi wa mwanaume ukipanda lazima kidume asumbue. Hiyo ndio asili ya mwanadamu.
Note: Uliyenaye ni kutokana na daraja la uchumi au wadhiwa ulionao.
Wewe unaweza muoa mtoto wa dewji, bahresa au laizer? Kwanza mtakutana wapi ? Hata shule hawasomi kayumba? Nyumba zao ulinzi mkali? Sokoni anaenda house girl.
Nini maana ya kuwa tajiri?Hivi saniniu laizer nae ni tajiri clinical pharmacology2
Nini maana ya kuwa tajiri?
Unakwama wapi kuwapata? Nenda Club, disko na kwenye matamasha huko, utawapata tu.Wewe unaweza muoa mtoto wa dewji, bahresa au laizer? Kwanza mtakutana wapi ? Hata shule hawasomi kayumba? Nyumba zao ulinzi mkali? Sokoni anaenda house girl.