Elections 2010 Kipengele cha 'kadhi' chapigwa 'x' ilani ya CCM!

Elections 2010 Kipengele cha 'kadhi' chapigwa 'x' ilani ya CCM!

Swala la ccm kuingiza maslahi ya dini ni dalili kuwa kuna agenda za siri zinatakazoingiza nchi kwenye machafuko.

Sioni kwa nchi ambayo inalemewa na umaskini na matatizo chungu mzima serikali yake inaanza kusababisha malumbano baina ya imani ndani ya nchi ambapo mwisho wa siku faida zake ni ndogo kuliko hasara.

Swala la dini katiba inaeleza wazi kwamba serikali haina dini bali watu wake ndio wenye dini. Kama ndivyo kwanini tuanze kuingiza maswala ya mahakama za kidini na vyombo vya kidini ambavyo vinaweza kusimamiwa na taasisi zenyewe za dini?

Kila dini ikianza kuleta mambo yake yawekwe kwenye sheria za nchi, ni kweli kwamba mpasuko miongoni mwa wananchi utaanza mara moja pasipo kuwa na umakini.
 
Tambo lisilo na mashiko!!!!!!!!!!!!!!!!
ni kweli hasa kwa kuwa upo zaidi kiushabiki kuliko kuelewa nini logic ya jambo husika na utabaki hivyo, lakini huwezi kuibadiri rangi nyeusi kuwa rangi nyekundu, ama kujifanya paka katikati ya kundi la paka huku una harufu ya panya
 
Bongoland,
Mkuu samahani kidogo hapa sijakuelewa na kusema kweli sielewi sheria zetu naomba somo kidogo nipate kuelewa.. Hivi Mkristu (mume) akioa na mwanamke akaitaka taraka (sheria ya nchi) kinyume cha sheria ya dini...Je, kuna uamuzi upi hapa?

Mkuu hii ni simple kabisa. Pamoja na yote yanayosemwa kanisani kuhusu ndoa ya kikristo, kama shauri likifikishwa mahakamani uamuzi unafanywa kwa mujibu wa sheria za nchi na sio sheria na taratibu za kanisa. To answer your question, mwanamke mkristo akiomba talaka kwa njia ya mahakama, taratibu zote za sheria zitafutwa na talaka inaweza kutolewa ( bila kujali sheria ya dini inasema nini). Imetokea mara nyingi tu na inaendelea kutokea. Taratibu za kanisa na sheria zake haviwezi kuwa juu ya sheria za kaisari. All Tanzanians regardless of their religions should be subject to one legal system, otherwise tutakuwa tunaleta upwagu na upwaguzi tu, na kuhatarisha misingi ya umoja wa taifa letu.
 
Kwahiyo wameamua kutangaza jihad? hivi hili haliweza kutafsiriwa kuwa ni uchochezi na uvunjifu wa amani? au jihad inamaana nyingine?
 
Kwa kifupi ndo wameliwa hapo, na nadhani mwishoni serikali imefanya maamuzi ya busara although matatizo yote wamejisababishia wenyewe. Sasa kama wakiamua kwa umoja kutompa Kikwete kura yao mambo yatakuwa matamu kwenye Uchaguzi.
 
Mimi nadhani sijui wenzetu waislamu tunakumbwa na nini, sijaona duniani taifa lolote lililowahi kuwaridhisha waislamu hata hiyo Iran, Saudia nk kwa kuwa nadhani mahitaji yao hayawezekaniki hapa duniani, ni WABINAFSI MNO MNO MNO, hivi viongozi wao hawaoni kwamba sio haki wakristo kuchangia uendeshaji wa hizo mahakama za Kiislamu? hili nalo linahitaji akili kuliona? shule zao wakristo kuingia ni shida kuliko chochote japo za wakristo tangu zamani mpaka kesho zinawapa nafasi za kutosha hata kama sio sawa. Misikitini kuna kazi ya kugombana hawataki bar jirani japo hawaishi misikitini na sehemu wanazoishi mashehe kuna bar, lakini bar hizo hizo ziko karibu na makanisa. wanataka wakifika wao hata kama walikukuta uhame uwapishe, mi naona hili ni ku ji frustrate tu kwa sababu haliwezekani na hapa Tz hatutaliruhusu na ndio maana maaskofu wameunda baraza rasmi sasa la kusikiliza kero za wakristo hii safi sana maana wakristo wamenyamaza mno hainamaana ni wapumbavu. UJUMBE KWA WAISLAMU HATUJACHELEWA BADO HEBU TUJARIBU KUISHI NA WENZETU KWA AMANI MBONA WENZETU WAKO KIMYA? INAMAANA SISI NDIO BINADAMU WAJUAJI KULIKO WENGINE WOTE? Leo tuna bifu kubwa na CCM, tuna bifu na Ukristo, tuna bifu na jirani mwenye bucha, tuna bifu na mwenye bar tutaishi na nani?
 
Mimi nadhani sijui wenzetu waislamu tunakumbwa na nini, sijaona duniani taifa lolote lililowahi kuwaridhisha waislamu hata hiyo Iran, Saudia nk kwa kuwa nadhani mahitaji yao hayawezekaniki hapa duniani, ni WABINAFSI MNO MNO MNO, hivi viongozi wao hawaoni kwamba sio haki wakristo kuchangia uendeshaji wa hizo mahakama za Kiislamu? hili nalo linahitaji akili kuliona? shule zao wakristo kuingia ni shida kuliko chochote japo za wakristo tangu zamani mpaka kesho zinawapa nafasi za kutosha hata kama sio sawa. Misikitini kuna kazi ya kugombana hawataki bar jirani japo hawaishi misikitini na sehemu wanazoishi mashehe kuna bar, lakini bar hizo hizo ziko karibu na makanisa. wanataka wakifika wao hata kama walikukuta uhame uwapishe, mi naona hili ni ku ji frustrate tu kwa sababu haliwezekani na hapa Tz hatutaliruhusu na ndio maana maaskofu wameunda baraza rasmi sasa la kusikiliza kero za wakristo hii safi sana maana wakristo wamenyamaza mno hainamaana ni wapumbavu. UJUMBE KWA WAISLAMU HATUJACHELEWA BADO HEBU TUJARIBU KUISHI NA WENZETU KWA AMANI MBONA WENZETU WAKO KIMYA? INAMAANA SISI NDIO BINADAMU WAJUAJI KULIKO WENGINE WOTE? Leo tuna bifu kubwa na CCM, tuna bifu na Ukristo, tuna bifu na jirani mwenye bucha, tuna bifu na mwenye bar tutaishi na nani?
Lugha za ki-Jihad wanazotumia Waislamu kwa kweli zinahatarisha amani ya nchi yetu! Wameagizwa kuunda Mahakama yao (ambayo ni Ibada yao) wameng'ang'ania "LAZIMA" Serikali iwaundie hiyo Mahakama! Wamekuwa watu wa shari kupita maelezo na wanalazimisha mambo!
 
Kwenye uchaguzi wa mwaka 2005 tuliwaingiza mkenge kwa kuwaahidi mahakama hewa ya kadhi wakamwaga kura. Mwaka huu tunawaahidi tena mahakama ya kadhi isiyo na hadhi, kama kawaida yao watatumwagia kura tena, ama kweli wajinga ndivyo waliwavyo.
 
Kwenye uchaguzi wa mwaka 2005 tuliwaingiza mkenge kwa kuwaahidi mahakama hewa ya kadhi wakamwaga kura. Mwaka huu tunawaahidi tena mahakama ya kadhi isiyo na hadhi, kama kawaida yao watatumwagia kura tena, ama kweli wajinga ndivyo waliwavyo.

Hujakosea ndugu hasa ukizingatia BAKWATA ni zao la CCM hata kwa tabia za kifisadi hawaoni uchungu kuuza mali za waislam iwe kufumbia macho ukweli ninajua wanajua kwamba agenda ya mahakama ya kadhi ni changa la macho lakini wanajifanya hawaoni.
 
TAARIFA RASMI YA CHADEMA KWA WANACHAM

Chama kimemsimisha dk slaa kugombea urais.
lkn waislaam wamepanga kumuuliza maswala dk slaa kuhusu mustakbali wa maisha yao hasa hili swala la mahakam ya kadhi, oic na mambo mengine hasa tukizingatia tayari dk slaa ameripotiwa kuungwa mkono na kanisa na uvumi umeenea kwa kasi hapa tz
Chama kimeona hayo maswala yatakuwa magumu kwa chama, yatakigawa chama na ianwezekana yakadhoofisha chama.
Imetolowa na msemaji wa chadema
Eti taarifa imetolewa na msemaji wa Chadema, mbinu hovyooooo

Mtachoka wewe na vigazeti vyenu Mwananchi Mtanzania Rai Majira na ka redio mbao kenu ka clouds kueneza maneno ya uchochezi ya kidini, kamwe hamtapata kitu kama mlivyomshupalia Zitto kwa kumpamba na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili eti asielewane na viongozi wake mlishindwa wenyewe. Sasa hili mtachoka wenyewe na vijigazeti vyenu uchwara.

Tumewapa hiyo mahakama isiyo na hadhi nendeni mkasuluhishe ndoa zenu ila serikalini hatuitaki tuna mahakama zetu na Dr. Slaa hana muda wa kuzungumzia uchafu huo atazungumzia mahakama ngapi mahakama za tanzania zilizopo zinamtosha.
 
Malaria Sugu and Quinine meeting at last!!!!...what a solution

Nilikuwa nachimba mizizi ya dawa ya huu ugonjwa nafikiri nimeipata sijachelewa tusije kumpoteza mgonjwa. Kama yeye anatumia udini na mimi natumia njia hiyo hiyo, kuna magonjwa mengine hayatibiki kwa dawa za kawaida hadi uzalishe backtelia wanaofanana washambuliane wao kwa wao.
 
mbona unajazba mzee.
askofu si kajibu kwamba dk slaa hakutumwa na wakatoliki? usiwe na jazaba , jaribu kutulia, kuleta hoja za msingi, usiwe na hasira kiasi hicho.
ccm washatawala miaka 40 nchi bado salama, chadema haijatawala inataka itwalae sasa mkija hivyo si mtaieleka tz vitani? si kutakuwa na machafuko ya kidini tz?
tulia, tulia, tulia usiyaibishe chadema
Mimi sina chama ila nataka uache mbinu yako mbaya ya kueneza udini kupitia magazeti.

Wana JF kwa taarifa yenu Malaria Sugu ni mwandishi wa magazeti ya Habari corporations ya Mwananchi Mtanzania Rai vile vile huandikia gazeti la Majira. Habari zote za udini kwenye magazeti hayo hutungwa na Maralia Sugu wakishirikiana na anayejiita Tumain.
 
mbona unajazba mzee.
askofu si kajibu kwamba dk slaa hakutumwa na wakatoliki?
kama kajibu acha kuendeleza upupu wako wa udini hapa umeifanya JF imekuwa kama kijiwe cha wanywa kahawa mods wanakulea, watu hatujadili mambo ya maana tumekalia udini udini jirekebishe vinginevyo toe to toe.
 
Sielewi unasema Hadhi ukimaanisha mahakama ya udini iwe na hadhi gani katika nchi isiyo ya kidini
 
Mimi sina chama ila nataka uache mbinu yako mbaya ya kueneza udini kupitia magazeti.

Wana JF kwa taarifa yenu Malaria Sugu ni mwandishi wa magazeti ya Habari corporations ya Mwananchi Mtanzania Rai vile vile huandikia gazeti la Majira. Habari zote za udini kwenye magazeti hayo hutungwa na Maralia Sugu wakishirikiana na anayejiita Tumain.

.
Ooh, kumbe? Now I know .
 
yani kodi yangu iwe inalipia ununuzi wa mapanga na mawe kwa ajiri ya kutekeleza hukumu za mahakama ya kazi

msahau kabisaaaaaaaaaaa...!
 
Kwa taarifa huyu sugu hajui kuwa wa TZ wamesha amka hakuna tena longolongo
 
Narudia tena Malaria sugu hawakilishi mawazo ya waislam hapa. Mi waislam naishi nao, na nawafaham ni watu makini na wanaotumia akili hasa lianpokuja suala linalohusu maslahi ya dini yao...
 
Back
Top Bottom