We endelea kukaa kimya.
By the way;
1. Ni mkeo au mpenzi tu?
2. Unakujua alikokwenda? Au unajua ameenda kwa nani?
3. Nje ya wewe na yeye, nani mwingine anajua kuwa unaishi naye?
4. Ameondoka na chochote?
NB.
Swali langu la pili hapo juu, nimeuliza hivyo kwa sababu nina jamaa, yeye alikuwa anaishi na mwanamke kama mke na mune. Walikuwa wanaishi Dar. Mwanamke kwao Masasi. Sasa alikuwa akienda kwao anakaa muda mrefu halafu anarudi Dar. Kidogo anaanza kudai kwenda kwao Masasi...!!
Jamaa anamruhusu. Mchezo ukawa ni huo w nenda rudi. Kumbe kule Masasi ana mume mwingine. Alikuwa anaishi na wanaume wawili, Masasi na Dar. Hali iliendelea hivyo hadi mama wa mwanamke alipoona ameshindwa kutunza siri akaamua kumwambia mkwewe. WAKAACHANA.