Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Sikiliza moyo wako maana ni maisha yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamdogooo..!!Ikibidi hata mi4 hakuna shida 😀😀😀mtaani kugumu ohoo
Acha basi mimi sikutaka kukaa nae yeye ndio alilazimishaSidhani ni busara kukaa na mtoto wa mtu kwa mda mrefu bila utaratibu, kuna namna unajijengea laana kwa watoto wako mbele, umekaa naye mda wajua tabia zake, amua sasa kuoa au kumuacha.
Ana mchinja mda wowoteKwan mmasai akifuga kuna tatzo gan?
Mi sinaga baya mkuuAna mchinja mda wowote
Acha basi mimi sikutaka kukaa nae yeye ndio alilazimisha
Tatizo apo ni elaHello Africa
Nipo kwenye mahusihano na mdada mmoja ambaye tulijuana tukiwa shule ya upili ni mda sasa tangu tuwe kwenye mahusihano sasa kila tukigombana anakunja nguo zake anataka kuondoka na mbembeleza sasa juzi tena tumegombana kakunja nguo zake kaondoka na mimi nimemuacha sija mbembeleza kasepa zake mpaka leo sijamtafuta ila nawaza tu akirudi nimpokee au nisimpokee?
Sawa kaka mkubwaNakushauri kama ndugu yangu, ukiyafanya haya unaweza usiwe mtu mwenye furaha huko mbele.
Unapo kaa naye kwa kufikiri yeye ndo ana shida na wewe umuhitaji, kwa nini usimuache akutane na wengine?
Huu mda wake unaoutumia, kama baadae utamfanya alalamike, lazima kuna namna itaku cost.
Na wewe umeniibia pesa zanguTatizo apo ni ela
Sasa cha kufanya apo nipe namba zake huyo mai wakoNa wewe umeniibia pesa zangu
Ili umuue siyoSasa cha kufanya apo nipe namba zake huyo mai wako
Sawa kaka mkubwa
Shikamoo bamdogoMamdogooo..!!
😅😀😀😀😀Ongeza matangazo 😅
Umechelewa sana kumuacha mjingaHello Africa
Nipo kwenye mahusihano na mdada mmoja ambaye tulijuana tukiwa shule ya upili ni mda sasa tangu tuwe kwenye mahusihano sasa kila tukigombana anakunja nguo zake anataka kuondoka na mbembeleza sasa juzi tena tumegombana kakunja nguo zake kaondoka na mimi nimemuacha sija mbembeleza kasepa zake mpaka leo sijamtafuta ila nawaza tu akirudi nimpokee au nisimpokee?