Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Msaada wangu ni ushauri au nipe namba nimshauri nayeywWw kwahiyo unanisaidiaje kijana mwezio masikini kama mimi 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada wangu ni ushauri au nipe namba nimshauri nayeywWw kwahiyo unanisaidiaje kijana mwezio masikini kama mimi 😂
Nigee namba zake nimshauri na kumtuliza aache wengeHello Africa
Nipo kwenye mahusihano na mdada mmoja ambaye tulijuana tukiwa shule ya upili ni mda sasa tangu tuwe kwenye mahusihano sasa kila tukigombana anakunja nguo zake anataka kuondoka na mbembeleza sasa juzi tena tumegombana kakunja nguo zake kaondoka na mimi nimemuacha sija mbembeleza kasepa zake mpaka leo sijamtafuta ila nawaza tu akirudi nimpokee au nisimpokee?
Sasa je😂 soko gumu
Fisi unampa nyama akutunzie 😂😂Nigee namba zake nimshauri na kumtuliza aache wenge
Si sawa na kumpeleka mbuzi kumpa mmsai akufugieMsaada wangu ni ushauri au nipe namba nimshauri nayeyw
😅😅 ushauri na saha tu, hakuna jambo bayaFisi unampa nyama akutunzie 😂😂
Na anakilima nyuma utamuacha salama wewe😅😅 ushauri na saha tu, hakuna jambo baya
Huyu hatugusi kabisa, shemeji hatugusagi 😅😅Na anakilima nyuma utamuacha salama wewe
Ahahahha siyo kwa wewe jamaa yangu nakujua wellHuyu hatugusi kabisa, shemeji hatugusagi 😅😅
Akiondoka kwako akihamia kwangu kuna mbaya gani kwani 😊😊Ahahahha siyo kwa wewe jamaa yangu nakujua well
Ila we mtu nimechekaIende irudi na kupokelewa ni mwenge tu uyo piga chini. Alafu tafuta hela
Wewe itakuwa ume mtorosha dahAkiondoka kwako akihamia kwangu kuna mbaya gani kwani 😊😊
Ndio ukweli kwan huo ni mwenge wa uhuru ad uzunguke urud na upokelewe tena ?😂Ila we mtu nimecheka
Ndio maana leo sijamtafuta
Kwan mmasai akifuga kuna tatzo gan?Si sawa na kumpeleka mbuzi kumpa mmsai akufugie
Ongeza matangazo 😅Sasa je