Kipi bora kati ya kuwa winga wa kila kitu au kuwa winga wa bidhaa moja tu?

Kipi bora kati ya kuwa winga wa kila kitu au kuwa winga wa bidhaa moja tu?

Fanya mastering maana ielewa sector moja vizuri then uanze kupiga hela kupitia hiyo sector

Mfano unakuwa dalali wa Nyumba


Unajifunza kuhusu squares meters
Unajufunza kuhusu location
Unajifunza kuhusu hati
Unajifunza kuhusu asilimia
Unajifunza kubusu robbing

Ukiwa fit ukaanza kupata hela unaanza kuwa winga au dalali wa kila kitu.

Mfano Magari
Viwanja
Maukumbi
N.k


Kama unaanza uwinga wekeza mwezi mmoja kuielewa bidhaa na ujifunze how to manipulate client mind

Kuwa na good communication6 skills-hapa ndo kuna uchawi mkubwa.

Fanya follow up -MTU akikuuliza bei jaribu pia kumfafuta after one week mbele hii huitwa fellow up.

Kuwa msafi na smart

Kazi ya uwinga na udalali zinalipa Sana Ila nyingi hufanywa na watu ambao hawajaenda shule

So ukiwa na kaelimu kakuandika vizuri kuongea vizuri utapata pesa.

All the best

Hata salam SK yule ni dalali wa diamond . anamtafutia mond show then mond anamlipa commission
 
Focus na biashara moja.
Kuwa na Good customer service.(hii hata wamiliki na wafanya biashara wenyewe wanakosa transaction sababu ya kukosa hii skill set) Pamoja na social skills.!
 
Fanya mastering maana ielewa sector moja vizuri then uanze kupiga hela kupitia hiyo sector

Mfano unakuwa dalali wa Nyumba


Unajifunza kuhusu squares meters
Unajufunza kuhusu location
Unajifunza kuhusu hati
Unajifunza kuhusu asilimia
Unajifunza kubusu robbing

Ukiwa fit ukaanza kupata hela unaanza kuwa winga au dalali wa kila kitu.

Mfano Magari
Viwanja
Maukumbi
N.k


Kama unaanza uwinga wekeza mwezi mmoja kuielewa bidhaa na ujifunze how to manipulate client mind

Kuwa na good communication6 skills-hapa ndo kuna uchawi mkubwa.

Fanya follow up -MTU akikuuliza bei jaribu pia kumfafuta after one week mbele hii huitwa fellow up.

Kuwa msafi na smart

Kazi ya uwinga na udalali zinalipa Sana Ila nyingi hufanywa na watu ambao hawajaenda shule

So ukiwa na kaelimu kakuandika vizuri kuongea vizuri utapata pesa.

All the best

Hata salam SK yule ni dalali wa diamond . anamtafutia mond show then mond anamlipa commission
Well described, shukran sana brother kwa ufafanuzi
 
Focus na biashara moja.
Kuwa na Good customer service.(hii hata wamiliki na wafanya biashara wenyewe wanakosa transaction sababu ya kukosa hii skill set) Pamoja na social skills.

Focus na biashara moja.
Kuwa na Good customer service.(hii hata wamiliki na wafanya biashara wenyewe wanakosa transaction sababu ya kukosa hii skill set) Pamoja na social skills.!
Hata linapokuja swala la ku-make trust inakua ni rahisi tofauti na unapochanganya changanya bidhaa!
Thanks a lot man!
 
Ukifocus na bidhaa moja, utachelewa sana
Ikiwa lengo ni kupata initial income kwa ajili ya kukidhi mahitaji madogo madogo naona ni bora ku-focus na bidhaa moja au niche, kwa mfano phones and Accessories au Home appliances.
Iyo itakupa urahisi wa kujibrand na hata kueleweka/kuaminika!

Naona si vyema kuchanganya bidhaa ikiwa ndo kwanza unaanza, kwasababu itakufanya uwe overwhelmed, baadae utapoteza matumaini kwa kuona kazi ni ngumu!
 
Ikiwa lengo ni kupata initial income kwa ajili ya kukidhi mahitaji madogo madogo naona ni bora ku-focus na bidhaa moja au niche, kwa mfano phones and Accessories au Home appliances.
Iyo itakupa urahisi wa kujibrand na hata kueleweka/kuaminika!

Naona si vyema kuchanganya bidhaa ikiwa ndo kwanza unaanza, kwasababu itakufanya uwe overwhelmed, baadae utapoteza matumaini kwa kuona kazi ni ngumu!
Winga hana tofauti na online business, unazijua changamoto zke?
 
Winga, Wapiga Debe ni matokeo ya nchi kushindwa, sioni faida yake, ni ujinga
 
Back
Top Bottom