mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
- Thread starter
-
- #21
ni kweli na hii naona itasababisha mapungufu kwenye jeshi letu maana watu hawaendi kujiunga na jeshi kwa lengo la usalama wa nchi ila kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za ajira na kupata maslahi zaidi
Nenda chuo dogo
Sayansi ipi hiyo ya form six au masterz
aiseee babayangu sayansi ya form6 mi nilifikiri mastersSayansi ya form six mkuu tena pass nzuri tu
Ndio hivyo mkuu Sasa unanishairi niniaiseee babayangu sayansi ya form6 mi nilifikiri masters
Kwenda jeshi la wananchi na sio mujibu wa sheria
Ushauri wenu wana JF.Asante
Kwa nini unataka kwenda Jeshini?
Yaani kwa nini una options hizo mbili tu...jeshi na shule?
Nenda kavae gwanda
acha kudanganya watu ww unatakiwa ingie jeshn kama mjibu wa sheria na cyo kwenda kwenye ajira hyo ni lazima kwa wahitim wote wakidato cha sita na hyo ni jkt au ww unaingia jesh lip?
Ndi hvyo kati ya jeshi au chuo lakini wazazi wanapenda nisome kwanza