Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
- Thread starter
- #21
Ni mawazo Yako mkuu,Nina kwangu na watoto nipo Kisasa _Dodoma nilijenga Zamani sana wakati huo mfuko wa cement Tshs 500.Acha dharau dogo .Hakuna cha eti umekuta watu wakibishana,wewe sema tu kama unapima upepo hapa ili ujue unaenda kukaa kwa nani,
Kaa kwa wazazi wako au kaa Ghetto na masela mnachangishana mpaka utakapo kaa sawa.