Mkuu hilo biti shemeji aliweza kuendelea kuishi kweli hapo?Maisha haya!!kijana(shemeji wakiume) alikuja kwangu nikashangaa dada yake anapika vyakula aina mbili ,kumbe kijana anachagua vyakula tena akiwa kwangu,kitu ambacho ninaimani kama ndugu yangu wakiume asingethubutu.Nilipiga biti kwanza kwa Dada yake kisha kwa kijana.Walinielewa
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Yani wewe unichane mimi? Kama kwa akili hizi za kusema umenichana halafu unadai ww ni mtu mzima,basi utakua na tatizo upstairs.Kabisa
Kumbe unajua hunijui,kelele za nini,nimekuchana yakuingie,wewe ni dogo kichwani!
Upo smart sana mkuu.Hizo sehemu zote mbili tazama kwanza usalama wa chakula Kama upo
Maana kwa nijuavyo wanawake kama chakula nitatizo utaishi kwa shida Sana .
Ukishaona usalama wa chakula upo angalia miondombinu kama nyumba n.k
Hivyo vyote vikowepo , itabaki tabia hakikisha unabadilika kuendana na mazingira.
Na mwisho kuwa MTU wa kujituma kufanya kazi hasa usafi wa nyumba ,vyombo nk
Kumbuka subra ndo ibada yenye malipo makubwa
Kijana apewe connection ya kubeba box [emoji403] mkuu.Hakuna cha eti umekuta watu wakibishana,wewe sema tu kama unapima upepo hapa ili ujue unaenda kukaa kwa nani,
Kaa kwa wazazi wako au kaa Ghetto na masela mnachangishana mpaka utakapo kaa sawa.
Geto Kwa msela anaweza kuliwaa aisee.Hakuna cha eti umekuta watu wakibishana,wewe sema tu kama unapima upepo hapa ili ujue unaenda kukaa kwa nani,
Kaa kwa wazazi wako au kaa Ghetto na masela mnachangishana mpaka utakapo kaa sawa.