tisa desemba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 434
- 115
WADAU, naomba ushauri na mawazo yenu juu ya suala la kupekua (kukagua) simu ya mpenzi wako coz mwenzenu limezidi kuniumiza mara kwa mara!
Nikipekua cm yake sometime naumia mwenyewe, nikisema niipotezee cm yake naumia pia cz natamani kujua msg na calls zake........plz nishaurini.
Nikipekua cm yake sometime naumia mwenyewe, nikisema niipotezee cm yake naumia pia cz natamani kujua msg na calls zake........plz nishaurini.