Kipi bora... Kuweka pesa Bank au kuwekeza kwenye viwanja


ila sasa, unaweza usizipate pesa zako kwa muda utakaoutaka! Fikiria hadi upate mteja na afike bei..!
 
Last edited by a moderator:
ila sasa, unaweza usizipate pesa zako kwa muda utakaoutaka! Fikiria hadi upate mteja na afike bei..!

ni kweli Husninyo,ila kuna maeneo mtu ukiwa nayo uhakika wa kuuza ni mkubwa.
Pia kwa kuwa tayari najua ni lini nitazihitaji hizo pesa nitakachofanya ni kutafuta mteja mapema kidogo badala ya kusubiri hadi wakati wa kuzihitaji ufike kabisa.
 
Last edited by a moderator:
kama una uwezo wa kuwa na viwanja vilivyopo kwenye maeneo mazuri, ukiwa mmiliki halali, inalipa zaidi kuliko kuweka fedha benki
 
kuweka fedha bank labda uwe na mahela mengi na uweke kwenye fixed account lakini kama ni vijisenti vya kudunduliza aisee angalia usije ukapata frustration maana bank huwa wanakata kila mwezi! ni bora ku-invest hela yako katika mradi ambao umeufanyia tathmini ya kutosha. pia kuwa makini maana biashara ziko dynamic...zinabadirika, na wewe unatakiwa uwe dynamic unapofanya biashara / investment!
 
Nami ninashukuru kwa watu wote waliotoa maoni,nami nimejifunza mengi sana kuhusu hii topic,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…