Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
Asante kwa kunielewa mkuu.
Kwa kufafanua zaidi ni kwamba,kwenye ardhi zitakua salama na pia siku yakuuza ili nipate pesa yangu,nitauza kulingana na thamani ya pesa ilivyo kwa wakati huo lakini zingekua bank thamani yake ingepungua.Kiufupi niseme kinachonifanya nisiweke bank ni kuogopa kuwa zitapungua thamani.
Ubarikiwe mkuu Malila.
ila sasa, unaweza usizipate pesa zako kwa muda utakaoutaka! Fikiria hadi upate mteja na afike bei..!
Last edited by a moderator: