GEITA NAFAKA BORA
Member
- Apr 7, 2023
- 6
- 6
Habarin ndugu Wana JF.
Nimekaa nikafikiria sana kati ya pande hizi mbili zinazokinzana.
Hivi nikipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa mhitimu wa elimu ya juu ambaye hana Ramani yeyote maisha lakini ndoto zake ni kuwa mkubwa kiuchumi.
Mara ghafra tuu ikatokea hii option. Je wewe kama mwanaJf ungefanyaje? iliutimize malengo na ndoto zako?
Naombeni ushauri WanaJF mimi kama mhitimu wa 1st degree sina kazi mtaani na hii ndio imenikuta.
Nimekaa nikafikiria sana kati ya pande hizi mbili zinazokinzana.
Hivi nikipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa mhitimu wa elimu ya juu ambaye hana Ramani yeyote maisha lakini ndoto zake ni kuwa mkubwa kiuchumi.
Mara ghafra tuu ikatokea hii option. Je wewe kama mwanaJf ungefanyaje? iliutimize malengo na ndoto zako?
Naombeni ushauri WanaJF mimi kama mhitimu wa 1st degree sina kazi mtaani na hii ndio imenikuta.