Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du! Apa mkuu umenifungua kiakil kamapele asee.Mshahara wa laki 3 nitakopa milioni 10.Nitafanya biashara
So ndege wawili, ajira maalumu kwa ajili ya kukopea na uhakika wa mtaji.
Asante Sana Evelyn Salt wazo lako aseelipopoa Sana nashukurmnooo Tena SanaPata ajira huku ukiweza wekeza na kwenye biashara....uzuri wa ualimu muda mwingi unakua free
Duuu kariakoo na 4m labda akawe machingaChukua mtaji kakomae kariakoo
We unaona machinga hawapati hela?. Kuna frem hadi laki Kwa mwez anaweka bidhaa anapambana na wateja mpaka mitandaoni huko.. kariakoo Ina hela asikudanganye mtuDuuu kariakoo na 4m labda akawe machinga
Tafuta kazi kwenye mitandao na pia nakushauri anza kwanza kwa kujitoleaHabarin ndugu Wana JF.
Nimekaa nikafikiria sana kati ya pande hizi mbili zinazokinzana.
Hivi nikipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa mhitimu wa elimu ya juu ambaye hana Ramani yeyote maisha lakini ndoto zake ni kuwa mkubwa kiuchumi.
Mara ghafra tuu ikatokea hii option. Je wewe kama mwanaJf ungefanyaje? iliutimize malengo na ndoto zako?
Naombeni ushauri WanaJF mimi kama mhitimu wa 1st degree sina kazi mtaani na hii ndio imenikuta.
Yani anakushauri kukopa unashangilia😂 Kama utalipwa laki 3 kwa mwaka utakuwa utakuwa na uwezo wakukusanya Milioni 3+ it means ndani ya mwaka na miezi kadhaa utakuwa na hiyo M4 bila matumizi yeyote. Ukichukua M4 uwe na malengo na njia inayoweza kukuingizia faida angalau 50,000 perday ambayo utatoa nahitaji yako yote na Kodi na kusave 10k perday kwa mwezi utakuwa na 300k unayosave chini ya hapo vyote itategemea na wewe umejipangaje na chance ya hela inaweza isipatikane Tena lakini AJIRA unaweza kupata one dayDDu
Du! Apa mkuu umenifungua kiakil kamapele asee.
Namshukur San nitarifanyiakazi maan naona wazo limekaa poa Sana.
Namshukur San.
UNALIPWA laki 3 unawekezaje mkuu em tupe mchanganuoPata ajira huku ukiweza wekeza na kwenye biashara....uzuri wa ualimu muda mwingi unakua free
Nisaidie bei ya nafaka bora hapo geita jamii ya mpunga kwa kg...Habarin ndugu Wana JF.
Nimekaa nikafikiria sana kati ya pande hizi mbili zinazokinzana.
Hivi nikipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa mhitimu wa elimu ya juu ambaye hana Ramani yeyote maisha lakini ndoto zake ni kuwa mkubwa kiuchumi.
Mara ghafra tuu ikatokea hii option. Je wewe kama mwanaJf ungefanyaje? iliutimize malengo na ndoto zako?
Naombeni ushauri WanaJF mimi kama mhitimu wa 1st degree sina kazi mtaani na hii ndio imenikuta.
3000/=,kwa 29,00/= grade one 32,00/= lakin unategemea kushuka maan saiz n wakat wa mavunoNisaidie bei ya nafaka bora hapo geita jamii ya mpunga kwa kg...