GEITA NAFAKA BORA
Member
- Apr 7, 2023
- 6
- 6
Chukua mtaji kakomae kariakooHabarin ndugu Wana JF.
Nimekaa nikafikiria sana kati ya pande hizi mbili zinazokinzana.
Hivi nikipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa mhitimu wa elimu ya juu ambaye hana Ramani yeyote maisha lakini ndoto zake ni kuwa mkubwa kiuchumi.
Mara ghafra tuu ikatokea hii option. Je wewe kama mwanaJf ungefanyaje? iliutimize malengo na ndoto zako?
Naombeni ushauri WanaJF mimi kama mhitimu wa 1st degree sina kazi mtaani na hii ndio imenikuta.
Kasema serikalini?Mshahara wa laki 3 nitakopa milioni 10.Nitafanya biashara
So ndege wawili, ajira maalumu kwa ajili ya kukopea na uhakika wa mtaji.
Mshahara wa graduates kwa walimu ni TGTS DKam ni graduate serikali I mshahara wa kuanza nao ni 716,000.
Ndo umeandika Nini sasa?Mshahara wa graduates kwa walimu ni TGTS D View attachment 2610442
Off course wapo free saana ila sio kwa walimu wa mwilamvya secondary school ya kasulu kigomaPata ajira huku ukiweza wekeza na kwenye biashara....uzuri wa ualimu muda mwingi unakua free
Mwalimu halipwi laki tatu!Habarin ndugu Wana JF.
Nimekaa nikafikiria sana kati ya pande hizi mbili zinazokinzana.
Hivi nikipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa mhitimu wa elimu ya juu ambaye hana Ramani yeyote maisha lakini ndoto zake ni kuwa mkubwa kiuchumi.
Mara ghafra tuu ikatokea hii option. Je wewe kama mwanaJf ungefanyaje? iliutimize malengo na ndoto zako?
Naombeni ushauri WanaJF mimi kama mhitimu wa 1st degree sina kazi mtaani na hii ndio imenikuta.
Hujaeleza vizuri kama hiyo ajira itakuwa ni temporary au permanently, Sasa kama hiyo ajira ni kwa muda tu basi ni Bora uchukue hiyo hela ukatafute utaratibu mwingine wa kuikuza kuliko kukaa hapo kusubiri hizo laki tatu zitakucheleweshaa.Habarin ndugu Wana JF.
Nimekaa nikafikiria sana kati ya pande hizi mbili zinazokinzana.
Hivi nikipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa mhitimu wa elimu ya juu ambaye hana Ramani yeyote maisha lakini ndoto zake ni kuwa mkubwa kiuchumi.
Mara ghafra tuu ikatokea hii option. Je wewe kama mwanaJf ungefanyaje? iliutimize malengo na ndoto zako?
Naombeni ushauri WanaJF mimi kama mhitimu wa 1st degree sina kazi mtaani na hii ndio imenikuta.