blessed chiqqah
Senior Member
- May 19, 2024
- 105
- 291
kwenu wanaume kipi bora
kumuambia ukweli mwanamke lengo lako au kumdanganya kuwa utamuoa hata kama huna mpango huo?
heeeeBila kuwadanganya mnasumbua, inabidi tuwalaghai ili tuwapate kirahisi.
Tuone papuchi ilivo,
Kuolewa au kutokuolewa ni jambo lingine.
au sio😂😂😂vyovyote vile ila me nipo kwenye i love you too
Nakuona ktk ubora😀Bila kuwadanganya mnasumbua, inabidi tuwalaghai ili tuwapate kirahisi.
Tuone papuchi ilivo,
Kuolewa au kutokuolewa ni jambo lingine.
🤣🤣🤣hebu wewe na huyo mwenzio Evelyn Salt mrudi dimbani sasa mle raha
Maisha yapo mchakamchaka yani hata muda wa kunyoa vvzzz nakosa, nikianza kumpenda mtu si ntamtelekeza tu huko mapenzini abaki anadate mwenyewe.....🤣🤣🤣hebu wewe na huyo mwenzio Evelyn Salt mrudi dimbani sasa mle raha
Nimetulia, muda hautoshi kupendana
Mapenzi hayanogi bila kudanganyana, ingekuwa kama ni kutaka kuoana hapo ningeshauri muambizane ukweli tu!!habari ya weekend ndugu zangu wana Jf, mnaojiandaa na maandamano maandalizi mema
niko hapa naomba kujua vitu kadhaa kwenye kuanzisha mahusiano
kwenu wanaume kipi bora
kumuambia ukweli mwanamke lengo lako au kumdanganya kuwa utamuoa hata kama huna mpango huo?
na kwenu nyie wanawake wenzangu kipi bora
mwanaume akudanganye wakati anakutongoza au akuambie ukweli ufanye uamuzi mwenyewe?
naombeni mawazo yenu
Kumwambia ukweli alafu na kumuowahabari ya weekend ndugu zangu wana Jf, mnaojiandaa na maandamano maandalizi mema
niko hapa naomba kujua vitu kadhaa kwenye kuanzisha mahusiano
kwenu wanaume kipi bora
kumuambia ukweli mwanamke lengo lako au kumdanganya kuwa utamuoa hata kama huna mpango huo?
na kwenu nyie wanawake wenzangu kipi bora
mwanaume akudanganye wakati anakutongoza au akuambie ukweli ufanye uamuzi mwenyewe?
naombeni mawazo yenu
Usinambie siku hizi upo inlove😆🤣🤣🤣Mchakamchaka ukichoka na hormone zimeshakauka,life is too short mama
kwa kweliNimetulia, muda hautoshi kupendana