Kipi cha kuanza pindi unapopata ajira: Kuoa, nyumba, biashara au gari?

Kipi cha kuanza pindi unapopata ajira: Kuoa, nyumba, biashara au gari?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Kuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.

Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.

Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?​
 
Back
Top Bottom