Hupendi raha ?Yaani nipate kazi cha kwanza NIOE???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hupendi raha ?Yaani nipate kazi cha kwanza NIOE???
Wakaile hela kina mwamposa ?Hili ndilo ambalo ata mimi nilikuwa nataka kumshauri ni muhimu kuanza na Mungu mshahara wa kwanza atakaoupata akatoe sadaka na kusaidia wasiojiweza
KabisaJenga kwanza jihakikishie makazi yako ya kudumu.
Ukitaka kujua Gari ni muhimu kuwe na mvuaKabisa
🤣🤣Yaani nipate kazi cha kwanza NIOE???
Wape elimu mafanikio ni nini?Serious ?
Mafanikio ya sisi Watanzania hasa kundi kubwa la vijana.
Kijinyumba cha vyumba 3-4, kijigari, familia kazi kwisha.
Nafikiri IQ inaamua hivi tulivyo.
Sasa si inategemea na kazi yenyewe. Kazi nyingine huo mshahar hata hela ya kula mbindeKuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.
Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.
Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?
Wapo waliofikiri mbali zaidi yako pia hawakufanya lolote hadi wameenda mbele za haki, maisha yana mafumbo mengi sana..Serious ?
Mafanikio ya sisi Watanzania hasa kundi kubwa la vijana.
Kijinyumba cha vyumba 3-4, kijigari, familia kazi kwisha.
Nafikiri IQ inaamua hivi tulivyo.
Akili za watanzania ndipo zilipoishia hapo.Serious ?
Mafanikio ya sisi Watanzania hasa kundi kubwa la vijana.
Kijinyumba cha vyumba 3-4, kijigari, familia kazi kwisha.
Nafikiri IQ inaamua hivi tulivyo.
Hela inaishia kwenye kodi ya nyumbaSasa si inategemea na kazi yenyewe. Kazi nyingine huo mshahar hata hela ya kula mbinde
Makazi yako ya kudumu ni kaburiJenga kwanza jihakikishie makazi yako ya kudumu.
Sasa unataka kwenda wapi zaidi , kuwa tajiri ni uwongo hata wewe sio tajiri ...Utajiri waachie ngozi nyeupe .Akili za watanzania ndipo zilipoishia hapo.
Hii iko sawa 🤣🤣1.BIASHARA
2.GARI
3.NYUMBA
4.MTOTO
5.KUOA.