Kipi cha kuanza pindi unapopata ajira: Kuoa, nyumba, biashara au gari?

Kipi cha kuanza pindi unapopata ajira: Kuoa, nyumba, biashara au gari?

Kuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.

Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.

Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?​

Ukipata ajira cha kwanza ni kujifunza kwa nguvu zote kujua kazi mapema na kuimaster kwa uharaka.
 
Kuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.

Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.

Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?​
Bado ni swali, nafikiri umeshajibu.
 
hivyo ni vipaumbele Binafsi na haviwezi kufanana kwa watu wote kwani familia zetu na mazingira yanatofautiana.
Kuna vitu vingi vya kuangalia hapo....mfano;
1. Umri wako
2. Kazi/kiasi cha mshahara unaopata
3. hali ya Familia yenu (kuna wanapata kazi wanategemewa, kulisha na kusomesha)
4. Eneo ulilopo (kuna eneo unahitaji pikipiki, ngombe wa kulima nk nk
5. kazi yako niya kudumu au ya muda (mkataba) nk
 
Katika makosa sikutaka kuyafanya ni katika KUJENGA.

Ukipata kazi alafu ukawa na akili ya kukimbilia NYUMBA basi hakika utajenga KIBANDA na si NYUMBA.

nyumba inategemea eneo, kwa haraka haraka hapa DSM eneo zuri kbs uwe na m10+ ya ARDHI pekee. hiyo hela kwa watu wengine tyr kashanunua kiwanja na kajenga KIBANDA (yeye anaita nyumba).

Kujenga NYUMBA ni mtihani sana sio jambo la kukurupuka tu.

Gari ni muhumu sana, na mm nilianza na GARI kwanza, nikaongeza ya pili huku nikiwekeza katika VIWANJA maeneo tofauti tofauti navipiga fensi natulia.

Baadae ndio nikaanza projects za ufugaji ktk kiwanja kimojawapo.

Then ikafata kujenga nyumba ya kwanza ikafata ya pili. Na cha kuchekesha siishi ktk hizo nyumba napanga. Maana nilihamishwa ktk Mkoa mwingine.

So in conclusion kujenga baada ya kupata kazi (immediately) si vizuri.. utajenga KIBANDA na si NYUMBA.
 
Katika makosa sikutaka kuyafanya ni katika KUJENGA.

Ukipata kazi alafu ukawa na akili ya kukimbilia NYUMBA basi hakika utajenga KIBANDA na si NYUMBA.

nyumba inategemea eneo, kwa haraka haraka hapa DSM eneo zuri kbs uwe na m10+ ya ARDHI pekee. hiyo hela kwa watu wengine tyr kashanunua kiwanja na kajenga KIBANDA (yeye anaita nyumba).

Kujenga NYUMBA ni mtihani sana sio jambo la kukurupuka tu.

Gari ni muhumu sana, na mm nilianza na GARI kwanza, nikaongeza ya pili huku nikiwekeza katika VIWANJA maeneo tofauti tofauti navipiga fensi natulia.

Baadae ndio nikaanza projects za ufugaji ktk kiwanja kimojawapo.

Then ikafata kujenga nyumba ya kwanza ikafata ya pili. Na cha kuchekesha siishi ktk hizo nyumba napanga. Maana nilihamishwa ktk Mkoa mwingine.

So in conclusion kujenga baada ya kupata kazi (immediately) si vizuri.. utajenga KIBANDA na si NYUMBA.
Uko sahihi sana mkuu. Binafsi Gari ni kitu cha kwanza,na ninanunua viwanja na kuviacha..
 
Mkuu umeuliza kitu kizuri sanaa.. Binafsi baada ya kuajiriwa nilikosea na kujifunza kwamba kuna mambo yanatakiwa uyape kipaumbele kama hujafikia/ kutimiza.
1. Kuwa na makazi. Kama upo single unaweza kujenga ndani ya mwaka mmoja hadi miwili. Hatakama hujamaliza kujenga utakua umefikia umefika hatua flani NB: uwe na lengo moja tu lakujenga.
2. Kuwa na biashara ambayo unauzoefu nayo au unaijua NB: fanya unachokipenda pia nashauri biashara inayoweza kukupa senti kila siku.
NB: Biashara inataka moyo mgumu. Kama uwezi wekeza vingne.
3.Kuoa. Hapa sina comment sana, ila omba mungu akupe mke mwema. Mimi baada ya kuoa mke kila kitu kilivurugika, mke alienda kutoa vitu vya ofini alivunja had kufuri mzee. Omba yasikukute hayo
4. Usafiri. Hii Muhimu sanaa mkuu.. ata kama huna rout nyingi ila kuwanayo muhimu. Unaweza kuwa na pikipiki au Gari (Baiskel iwe kwa ajili ya watoto)
5.Kipaumbele chako. Hii ni uamuzi wako kama unaongeza nyumba au biashara nk
Tunafikiri sawa mkuu👍🏽 Mawazo yangu haya pia!
Nilipita humuhumu!
 
Kuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.

Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.

Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?​
Kosa kubwa utakalo fanya ni kuoa aseeee usije ukaoa kabisa hapa Tanzania utajuta.
 
Katika makosa sikutaka kuyafanya ni katika KUJENGA.

Ukipata kazi alafu ukawa na akili ya kukimbilia NYUMBA basi hakika utajenga KIBANDA na si NYUMBA.

nyumba inategemea eneo, kwa haraka haraka hapa DSM eneo zuri kbs uwe na m10+ ya ARDHI pekee. hiyo hela kwa watu wengine tyr kashanunua kiwanja na kajenga KIBANDA (yeye anaita nyumba).

Kujenga NYUMBA ni mtihani sana sio jambo la kukurupuka tu.

Gari ni muhumu sana, na mm nilianza na GARI kwanza, nikaongeza ya pili huku nikiwekeza katika VIWANJA maeneo tofauti tofauti navipiga fensi natulia.

Baadae ndio nikaanza projects za ufugaji ktk kiwanja kimojawapo.

Then ikafata kujenga nyumba ya kwanza ikafata ya pili. Na cha kuchekesha siishi ktk hizo nyumba napanga. Maana nilihamishwa ktk Mkoa mwingine.

So in conclusion kujenga baada ya kupata kazi (immediately) si vizuri.. utajenga KIBANDA na si NYUMBA.
Inategemea na kipato chako, wengine tulianza kujenga na ni nyumba sio kijumba.
 
Hili jambo linauzito na linahitaji utulivu mkubwa wa akili pia maamuzi sahh,ila kwangu nafikir kujiwekez kwanz ili kupata/kujihakikishia kipato Cha kutosha hivyo vingine vinawezekan tu wakuu mathalani ukijijenga kwanza
 
Back
Top Bottom