Pentamycin
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 210
- 281
Wahaya ndevu hawana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wako alikudanganya.Aliniambia eti ni yale Makatambuga yale maviatu ya matairi ya gari wanayovaa ndo yanahusiano na matatizo ya macho .
Na nilipoenda kijijini baba alinikataza kabisa kuyavaa kasema ukivaa kwa mda mrefu yale matairi yana uhusiano sasa kila nikijaribu kurelate naona haingii akilini kabisa.
Ebu jaribu kurelate hapa
Kuna mkato baada ya 'wamasai'.Wamasai wako mara siku hizi?
Aliniambia eti ni yale Makatambuga yale maviatu ya matairi ya gari wanayovaa ndo yanahusiano na matatizo ya macho .
Na nilipoenda kijijini baba alinikataza kabisa kuyavaa kasema ukivaa kwa mda mrefu yale matairi yana uhusiano sasa kila nikijaribu kurelate naona haingii akilini kabisa.
Ebu jaribu kurelate hapa
Hata mimi naona sio kweli haingii akilini .Sio kweli bhana!!
Sasa ulishangaa af husemi....we kiazi sana aiseeKumbe !!
Vip kuhusu ulemavu wa macho maan wazee wengi ni chongo ? nilikuja kumuuliza baba ila jibu nilipewa nilishangaa.Baba kazliwa na kukulia kwa wamasai na wapare anawajua mwanzo mwisho ila jibu alinipa nilishangaa sana.
nimejibu huko juu kwamba eti yale maviatu ya tairi wanavaa ndo yanasababisha.Sasa ulishangaa af husemi....we kiazi sana aisee
wanavyoVipara hawana wahaya
Nyama hazina protein au maziwa kwani hayo makabila ni wafungaji wazuriPia vyakula watu wa ukanda huo wanakosa vyakula vya bahari ambavyo ni rich in proteins pia
Mind you nywele ni protein
Kuna aina kama nne za wafrika
1) bantu
2) nilote.( Lake nilote and plain nilote)
3)kushite
4)................( Nimesahau)
Kila moja Ina tabia zake!!
Kuna wenye nywele nyingi,Kuna wenye hasira,Kuna wataalamu wa kulipa kisasi!! Nk