USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Ndugu zangu hapa nimekaa na masheikh wa msikiti wa hapa mtaani wanasema kuwa wao wangekuwa viongozi wa makanisa wangekuwa matajiri kwa kuwa Wakristo hutoa sadaka nyingi sio sarafu kama Waislamu.
Wamenihakikia kuwa kwa ijumaa ambayo ndio siku kubwa kwa wiki wao hupata elfu sita hadi kumi kwa msikiti wenye waamuni mia na zaidi kiasa ambacho ni pesa ya mtu mmoja kwa Wakristo?
Swali kwanini waislamu wanatoa sarafu huku pesa wanayo
USSR
USSR
Wamenihakikia kuwa kwa ijumaa ambayo ndio siku kubwa kwa wiki wao hupata elfu sita hadi kumi kwa msikiti wenye waamuni mia na zaidi kiasa ambacho ni pesa ya mtu mmoja kwa Wakristo?
Swali kwanini waislamu wanatoa sarafu huku pesa wanayo
USSR
USSR