Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapoita kwenda kuswali kwa adhana huwa wanakuita na kadiri wewe ukaswali!?
Misikiti Tanganyika ipo kabla ya mwaka 1300,endelea kufuga chuki dhidi ya uislam uone utapata niniSasa wewe mpagani unajipya,bila waarabu hakuna uislamu,soon uchumi wa waarabu unaenda kufa,wajanja waarabu wameanza kujinusuru kwa anguko hilo kwanza kwa kuanza kufungamana na usa na israel.
Pili wameanza kutengeneza miji ya kitalii kama dubai ili angalau kupata pesa kupitia utalii.
Tatu wameanza kuondoa sheria za kipuuzi za kiislamu ili kuruhusu muingiliano wa watu wa mataifa mbalimbali.
Sasa wewe mmatumbi uliyekaririshwa vitabu vya waarabu kaa kizembe tu ukisubiri misaada ya kujengewa msikiti na kulishwa tende.
Kafiri hawezi swali...spika hukuwekewa weweKama hawiti watu kwanini kuweka mispika mikubwa?je nikienda kusali utanizuia?acha kujimilikisha dini za waarabu.
Unajiita freshman ila unayoandika doesn't reflect your name my brother......Uislamu unabebwa na waarabu kwa sababu una faida kwao. Wanapata hela nyingi kutoka kwa waislam wanaoenda kuhiji Makka na Madina kutoka nchi mbali mbali duniani. Sehemu ya faida katika hizo hela ndizo zinatumika kujenga misikiti huku Africa na nchi zingine kwa kupitia taasisi za hao waarabu
taasisi za kiislam za Waarabu ndizo zinatoa hela za kujenga misikiti..