Kipi hupelekea Waislamu kutoa sadaka kiduchu licha ya ukwasi walionao?

Kipi hupelekea Waislamu kutoa sadaka kiduchu licha ya ukwasi walionao?

Swadaka na zakka't ndizo zinazotakiwa kuendesha misikiti,si kila msikiti una fursa ya kuweka frame za biashara au uwezo wa kuwa na shule au zaha ATI,waislam hawana kawaida ya kulipa zakka't,wameambiwa mpaka mtaji uzunguke mwaka bila kupata hasara ndiyo watoe zakka't
Sijasema kutoa sadaka haifai, kama unayo pesa toa. Kisichofaa ni kuweka utaratibu kwamba kila baada ya ibada basi upite mchango, kila ibada basi pawe na mchango, jambo hili ndio halipo. Msikiti ni sehemu ya ibada na si kuchangishana pesa.

Ni vizuri zaidi msikiti wenyewe ukiwa na namna ya kujiingizia kipato bila kutegemea sadaka, shule, hospitali na fremu ni mifano tu, lakini Kuna namna nyingi tunaweza kuzitumia misikiti ikawa na vyanzo vya mapato.
 
Sijasema kutoa sadaka haifai, kama unayo pesa toa. Kisichofaa ni kuweka utaratibu kwamba kila baada ya ibada basi upite mchango, kila ibada basi pawe na mchango, jambo hili ndio halipo. Msikiti ni sehemu ya ibada na si kuchangishana pesa.

Ni vizuri zaidi msikiti wenyewe ukiwa na namna ya kujiingizia kipato bila kutegemea sadaka, shule, hospitali na fremu ni mifano tu, lakini Kuna namna nyingi tunaweza kuzitumia misikiti ikawa na vyanzo vya mapato.
Sheikh,miongoni mwa matumizi ya zakka't na swadaka no kuhudumia misikiti,misikiti itahudumiwa na waumini
 
Sadaka ni jambo la hiari kwa waislamu.Ukitoa unapata thawabu usipotoa hupati dhambi
Hupangiwi kwenye bahasha kwamba utoe kiasi fulani usipotoa unatengwa au kutotambuliwa kwenye kundi. Ukifa kama ulikuwa hutoi sadaka huombewi unafukiwa.Uislamu hauna hayo.
 
Dah umenikumbsha msikiti wa jiran masjid kadiri ya mgaza,..ilikuwa ijumaa sadaka 8000..na watu walikuw wanaswali had nje..kwakuw msikiti umejaaa
 
Kuna msikiti magomeni walikua wanachangisha hela ya umeme,utasikia mwenye mia5,mwenye elf moja,aje atuchangie,nikasema duu sasa luku nayo mchango tena kwa miamia.

Ndugu wajukuu wa mudi,acheni ubahili na kutegemea waarabu kila kitu,soon mafuta yatakosa soko sijui mtapata wapi wafadhili.
Nyie endeleeni kutajirisha Wachungaji tu, ukijua unampa Mungu, mchungaji akijenga majengo ya biashara na kutembela magari ya kifahari.

Nyumbani kwenu, wazazi wako wakilala giza kushindwa kuwaingizia umeme, ama kuwanunulia umeme.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Inatakiwa utoe kile ulicho na uwezo nacho ili baadae usije ukaisononesha nafsi yako kwa kujilazimisha kutoa kikubwa wakati hiyo hela kuna mahitaji yalikuwa yanahitajika
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Dah umenikumbsha msikiti wa jiran masjid kadiri ya mgaza,..ilikuwa ijumaa sadaka 8000..na watu walikuw wanaswali had nje..kwakuw msikiti umejaaa
Kwahiyo wewe mkristo, wakimaliza kuswali, unaenda kuulizia, hela sadaka wamepata Tsh ngapi, wanafiki hawataisha Dunia.
Ndiyo maana akuna Shekhe anaetembelea Hurmma, pesa toka msikitini.

Kama G. boy, unajua Ukiondoa Romani katoriki, KKKT, na Wasabato, makanisa mengine haya ya Watu hayaanzishwi kwa ajili ya Mungu, ingawa wanataka neno la Mungu, kuwavutia, bali yanaanzishwa kujinufaisha kiuchumi.
 
Misikiti ipo Tanzania kabla hata mafuta hayajagundulika arabuni,Kuna siku waislam walikufuata kukuomba hela ya luku au maji!?

Hakuna msikiti mzuri uliojengwa na waumini bali ni misaada ya waarabu,kama zilivyo tende na nyama za ngamia.
 
Misikiti ipo Tanzania kabla hata mafuta hayajagundulika arabuni,Kuna siku waislam walikufuata kukuomba hela ya luku au maji!?

Kitendo cha kutangaza kwenye ile mispika si ndio kuniomba indirect,soon nitaenda kuwachangia.
 
Me nafikiri approach nzuri ni misikiti kujiwekea mifumo mizuri ya kujiingia pesa zake yenyewe bila kutegemea sadaka.

Misikiti inaweza kuwa na miradi ya maduka, Kuna misikiti mingi imezungukwa na fremu za biashara. Hiki ni chanzo muhimu Kwa mapato ya msikiti. Pia misikiti ina na miradi kama shule, hospitali na vyanzo vingine vya pesa kuliko kutegemea waumini.

Misikiti mingi ni mali za watu binafsi,hao ndio huchukua kipato chote,misikiti ya jumuia mingi imefeli na inamigogoro iso isha hadi kukosa hela ya luku.
 
Nyie endeleeni kutajirisha Wachungaji tu, ukijua unampa Mungu, mchungaji akijenga majengo ya biashara na kutembela magari ya kifahari.

Nyumbani kwenu, wazazi wako wakilala giza kushindwa kuwaingizia umeme, ama kuwanunulia umeme.

At leas wana moyo wakujitolea,
 
Kitendo cha kutangaza kwenye ile mispika si ndio kuniomba indirect,soon nitaenda kuwachangia.
Walikua wanaambiana wao,Wala wewe haikuhusu Kama isivyokuhusu adhana ...utaingiaje msikitini ilhali una janaba
 
Hakuna msikiti mzuri uliojengwa na waumini bali ni misaada ya waarabu,kama zilivyo tende na nyama za ngamia.
Waarabu nao ni waumini,unaijua misikiti mingapi mpaka useme hakuna misikiti mizuri bila msaada wa mwarabu!?..na kinakuuma nini!?...makanisa ya daresalaam' makubwa tunayoyaona alijenga nani!?
 
Waarabu nao ni waumini,unaijua misikiti mingapi mpaka useme hakuna misikiti mizuri bila msaada wa mwarabu!?..na kinakuuma nini!?...makanisa ya daresalaam' makubwa tunayoyaona alijenga nani!?

Usihamishe mada,acheni ubahili taasisi hujengwa kwa waumini kujitoalea kwa moyo na mali na akili zao,kutegemea misaada haijawahi fanikisha jambo.

Soon mafuta yanaenda kukosa soko waarabu hela zinaenda kuisha na uchumi uwao utapolomoka tende na nyama za ngamia sijui mtatolea wapi?
 
Hebu taja misikiti ishirini ya hivyo!?.. wewe huswali upi!?
Mbna ipo mkuu nakutajia mmoja sijui unaitwaje ila upo GONGO LA MBOTO MOSHI BAR BOMBA MBILI
kwanza ni FULL AC ni mpya msikiti umejengwa wa kisasa nimeswali zaidi ya mara 3 tukimaliza kyswali kilamtu anashika njia yake hakuna kikapu wala kuchangishana
Ipo mingi tu ambayo ninaswali hasa misikiti ya SUNNI kama hakuna dharura yoyote zaidi utakuta wameandika pale namba ya LUKU wewe unanunua tu LUKU ukipenda
 
Mbna ipo mkuu nakutajia mmoja sijui unaitwaje ila upo GONGO LA MBOTO MOSHI BAR BOMBA MBILI
kwanza ni FULL AC ni mpya msikiti umejengwa wa kisasa nimeswali zaidi ya mara 3 tukimaliza kyswali kilamtu anashika njia yake hakuna kikapu wala kuchangishana
Ipo mingi tu ambayo ninaswali hasa misikiti ya SUNNI kama hakuna dharura yoyote zaidi utakuta wameandika pale namba ya LUKU wewe unanunua tu LUKU ukipenda
Wameweka namba ya luku!
 
Ndugu zangu hapa nimekaa na masheikh wa msikiti wa hapa mtaani wanasema kuwa wao wangekuwa viongozi wa makanisa wangekuwa matajiri kwa kuwa Wakristo hutoa sadaka nyingi sio sarafu kama Waislamu.

Wamenihakikia kuwa kwa ijumaa ambayo ndio siku kubwa kwa wiki wao hupata elfu sita hadi kumi kwa msikiti wenye waamuni mia na zaidi kiasa ambacho ni pesa ya mtu mmoja kwa Wakristo?

Swali kwanini waislamu wanatoa sarafu huku pesa wanayo

USSR

USSR
Watu wanaenda kuongeza wake tu.
 
Back
Top Bottom