Uislamu unabebwa na waarabu kwa sababu una faida kwao. Wanapata hela nyingi kutoka kwa waislam wanaoenda kuhiji Makka na Madina kutoka nchi mbali mbali duniani. Sehemu ya faida katika hizo hela ndizo zinatumika kujenga misikiti huku Africa na nchi zingine kwa kupitia taasisi za hao waarabu
taasisi za kiislam za Waarabu ndizo zinatoa hela za kujenga misikiti..
Unajiita freshman ila unayoandika doesn't reflect your name my brother......
Hivi kwanini mnapenda kuongea mambo msiyokuwa na uhakika nayo wazee??
Honesty speaking huwa spendezwi kabisa na mtu anaesema kitu katika umma wa watu tena kwa kuwaaminisha kitu ambako hakijui, hana maarifa nacho ila anavyokiongea utafikiri anakijua
Kama hijja ni kwaajili ya kuwanufaisha waarabu basi nijibu hijja ilianza lini na ilianzishwa na nani??
Kamwe! Huna hayo majibu nahakika!
Kwa taarifa yako hijja imeanza bado hata ayo nafuta ya Arab, utandawazi sjui huo uG3, G7 Mara G10 haujaanza it started early even before industry revolution, zama za watu wakipanda wanyama kama usafiri brother
Na kwa taarifa yajo hata wakati ikianzishwa hijja ya kiislam pale makka waliokuwa wakipinga na kupiga vita hijja walikuwa hao waarabu wenyewe tena viongozi wenye power, mamlaka na pesa tena viongozi , sasa how can you fight against the something you started bro? Kama kweli walianzisha ili wapige pesa??
Acha kutukana imani za watu huko ni kukoswa adabu
Sent from my TECNO KB7j using
JamiiForums mobile app