Kipi hutakisahau mwaka 2019?

mwaka ambao nimefanya sana mapenzi katika maisha yangu toka mwezi wa 2 hadi wa 11 karibu kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]RIP UNCLE

kelphin kepph
 
Nilifanikiwa kupata kadi na kujiunga na chama cha siasa ambacho nilikuwa nakipenda tangia kiliposajiliwa
 
Huna tofauti na Mimi kaka ,nimeumia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwaka ulio anza vizuri kwangu, nimepata kazi nzuri sana ila ni mwaka unao isha nikiwa na hofu kuu baada ya kuuza mechi kwa mtu anayesadikika kuwa na maradhi yale.

mpaka sasa naishi kwa hofu, nimeichezea afya yangu kipumbavu sana hadi siamini maana mwezi wa 1 na 5 nilipima ila mwezi wa 8 nakuja uza mechi kibwege mpumbavu mimi.

wakuu tunzeni afya zenu,mawazo niliyo nayo si ya nchi hii
 
Namuomba Mungu mwaka 2020
Mipango niliyo ipanga itimie 2019 nimeshindwa kutimiza malengo niliyo jipangia
 
Pole sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nlipanga kufanya project moja matata sikuweza japo target ya kifedha ilifika,katikati mwaka huu ilibidi kufikiria namna ya kuanzisha project nyingine bora zaidi iliyohitaji kiwango kikubwa cha fedha tofauti na mwazo,nakomaa mwakani mapema kabisa nifikie kwenye lengo langu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilizichakata sana papuchi mwaka huu kuliko maelezo yaani mpka kufikia ukingoni bado nazichakata tu,
Muda si mrefu pia naenda kuichakata papuchi moja

Sent using Jamii Forums mobile app
hujawai kuniangusha kweny iyo sekta mkuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚salute kwako nikiwa mkubwa Sana nataka niwe kama ww ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ