Kipi hutakisahau mwaka 2019?

Kipi hutakisahau mwaka 2019?

Namshukuru Mungu huu mwaka nimeimarika zaidi kiroho kuliko miaka ya nyuma. Kwani nimeijua dini kwa usahihi na Mungu kunionyesha karama yangu. nafurah sana kumtumikia Baba wa mbinguni.

Namshukuru Mungu huu mwaka nimeweza kujinasua ktk kifungo, kifungo ambacho sikuwah kutegemea km nitatoka lkn nimetoka na ninaenjoy sana tu.

Namshkr Mungu huu mwaka umekuwa na mapito ya kila aina kilio, furaha na maumivu lkn mwisho umekuwa ni neema. Hakika umekuwa ni mwaka wenye changamoto sana.

Namuomba Mungu mwaka 2020 uwe wa neema zaidi, furaha, amani na niweze kutimiza malengo yng niliyojipangia.
Amen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mara ya kwanza 2019 nimewahi kufikiri nmerogwa.
-Mwaka ambao nmejitoa kwa jamii kuliko miaka yote..
-Nme experience disappointment kubwa kubwa
-Nmetoka Misri nmekwama Jangwani labda 2020 ntafika Kanaani
-Lakini namshukuru Mungu Hata kama nmekwama jangwani ,nakula, nakunywa nina afya njema mengine majaaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mwaka ngoja tu uende. Aisee wacha uende.

Natumaini 2020 nitakua poa kiasi.
 
Mwaka ambao nahisi nimehonga sana [emoji2357] ila 2020 nitajitahid kurudisha kwa jamii na kusaidia wenye uhitaji wa kwel.Mungu ni bariki[emoji120][emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom