andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,773
- 119,820
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen[emoji120][emoji120]Pole sana kwa hayo yatupasa tushukuru kwa kila jambo hakika Mungu ni mwema .
Sent using Jamii Forums mobile app
AmenNamshukuru Mungu huu mwaka nimeimarika zaidi kiroho kuliko miaka ya nyuma. Kwani nimeijua dini kwa usahihi na Mungu kunionyesha karama yangu. nafurah sana kumtumikia Baba wa mbinguni.
Namshukuru Mungu huu mwaka nimeweza kujinasua ktk kifungo, kifungo ambacho sikuwah kutegemea km nitatoka lkn nimetoka na ninaenjoy sana tu.
Namshkr Mungu huu mwaka umekuwa na mapito ya kila aina kilio, furaha na maumivu lkn mwisho umekuwa ni neema. Hakika umekuwa ni mwaka wenye changamoto sana.
Namuomba Mungu mwaka 2020 uwe wa neema zaidi, furaha, amani na niweze kutimiza malengo yng niliyojipangia.
Huu umekuwa ni mwaka wa majanga sana kwangu.
Nimelia mara nyingi nahisi kuliko hata miaka mingine iliyopita.[emoji17][emoji17]
Kikubwa ni uhai
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen[emoji120][emoji120]
Zaidi Sana tuzidi kumuweka mikononi mwa Mungu mwenzetu aliyefiwa Jana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesuuu, poleni sana wapendwa.Mawe yalimwagika barabani,kwenye kona ghafla haya hapa, kukwepa likapiga kushoto, kilicho fuata ikawa ni nafasi ya Mungu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue Ulirogwa
Kuna uzi watu wanatoa ushuhuda hadi naogopa kulala hapaHakuna kuupa uchawi nafasi[emoji3]
maana aliwazalo mjinga ndio linalomtokea
nisipokaza imani ntarogeka kweli maana hata mawazo yanaroga Hapa ni kubisha(kutoamini) mpaka mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
aah ule ; kaza msuli mkuu hakuna kuupa wanga nafasi jijaze spirit ukilegea unatoa shauri yako!!!Kuna uzi watu wanatoa ushuhuda hadi naogopa kulala hapa
sio kujitahidi acha kabisaMwaka ambao nahisi nimehonga sana [emoji2357] ila 2020 nitajitahid kurudisha kwa jamii na kusaidia wenye uhitaji wa kwel.Mungu ni bariki[emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app