Kipi kifanyike kuwanusuru walimu na kashfa ya ngono dhidi ya wanafunzi?

Kipi kifanyike kuwanusuru walimu na kashfa ya ngono dhidi ya wanafunzi?

Ni kitu ambacho hakitawezekana mzee
Wakati nipo tz kuna utafiti tulifanya
Watoto wakike wanaogopa kusoma masomo ya sayansi sana
... kwa level za msingi na sekondari ufanyike mkakati wa makusudi ratio ya walimu wa kike iwe kubwa kuliko wa kiume; 3:1 say. Kwa mfano, masomo ya ualimu kwa walimu wa kike serikali igharamie 100% ila wa kiume wapigwe ada kubwa kuwa-discourage kusomea ualimu wa sekondari na msingi yaani ualimu iwe kazi ya kike zaidi. Hapa utaona automatically tatizo litapungua kwa 75%.
 
Tena anafurahia sana point of reference lindi mtwara ruvuma
Sisi jamii na wazazi tuwe 'siriaz' dhidi ya watoto wetu na waalimu wao kama tulivyo 'siriaz' dhidi ya vibaka wa mtaani.

Unakuta binti anamwambia mwalimu ananitaka mzazi anachukulia poa
 
Una hakika huyo mwalimu akidhibitiwa, na akidhibitika kweli. Huyo mwanafunzi wa kike atamaliza elimu yake akiwa bikra?

Hebu badili fikra yako kwanza, kuhusianisha tabia ya mtu mmoja mmoja na taaluma au utaalamu wa mtu mimi nadhani si sawa.
 
Ni walimu wangapi wanaoshiriki kwenye hivyo vitendo na kushtakiwa kwenye mamlaka husika kila mwaka? Tuanzie hapo kwanza.
Kiufupi utakuta ni asilimia ndogo sana ukilinganisha na idadi ya walimu wote nchini. Na jambo hilo kimsingi halikwepeki! Kwa sababu hao walimu ni binadamu kama wewe hivyo na wenyewe hawajakamilika.

Wapo Madaktari wachache wanao wadhulumu wagonjwa! Hata awamu hii ya Magufuli anayesifiwa kwa kipambana na rushwa lakini bado kuna kundi la watu linalo endelea kula rushwa kama kawa. Mfano Askari polisi! Hasa wale wa usalama barabarani.

Uwepo wa adhabu kali unapunguza kukua kwa hizo tabia ambazo ni kinyume na maadili. Lakini pia wazazi tunatakiwa kuwakuza watoto wetu katika maadili sahihi na tunatakiwa tuwe nao karibu na ni wajibu wetu kuwatimizia mahitaji yao, ili kuwaepusha na vishawishi mbalimbali.
 
Watoto wenyewe siku hzi miaka 15 mpk 17 lkn Wana mishepu misambwanda mipaja hiyooo
Walimu dhaifu lzm wapagawe

Ova
 
Walimu wana wakati mgumu sana bora hata hawa wa sasa watoto bado wadogo, mimi niliwahi kua mwalimu enzi zile watoto ni wakubwa, ilikua shida, shida tupu.

Asikudanganye mtu hawa watoto wana majaribu hasa ukiwa mwalimu una special au unique characters watakupa shida sana, unaweza kua unawakataa lakini vishawishi vyao ni ngumu kuviruka.

Wakati mwingi hawa watoto wanawaweka waalimu kwenye mazingira magumu ambayo kwa mwanaume ambae ni sexually active inakua ngumu asikwambie mtu.

Kupambana na hili ni kuondoa hii elimu ya mitihani, elimu iwe ni competence based na sio hii tests and exams based education.
Kwenye mashule kuna walimu wenye unique characters, sifa gani hizo kwa mfano?

Na hili la elimu ya test and exams nalo limenichanganya pia, ninaomba ufafanuzi sir!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanaJF,

Kila kukicha kashfa ya ngono kwa waalimu dhidi ya wanafunzi inazidi kukita mizizi, licha ya adhabu kali zinazochukuliwa dhidi ya wabainika lakini bado imeshindikana kulidhibiti tatizo, je kwa mtizamo wako unadhani kipi kikifanyika kitasaidia kumaliza tatizo hili?
Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake! Waacheni walimu wafaudu matunda! Mbona nyie chandimu mnatafuna viti maalumu sisi hatusemi? Acheni wivu
 
walimu wa kike wanakwama wapi?,kwanini hawazichangamkii fursa kama wenzao wa kiume
Mzee haujawahi sikia kashifa za walimu wa kike kuwabemenda wanafunzi wa kiume?

Me mwenyewe ni muathirika wa udhalilishwaji huo ni shahidi, lakini kwa mwanaume ni raha halafu ni bonge la sanifu.

Kwanza nilidhani ninachukiwa na huyo mwalimu wangu!

Itwa itwa sana, tumwa tumwa sana hadi nikajihisi mkosefu dhahiri!

Cha ajabu sasa, mtu ninayechukiwa, zawadi ninazobebeshwa kwenye mkoba wangu, eti nisimwambie mtu zikawa zinanichanganya!

Nikawa ninajiuliza: 'hivi huyu mwalimu mbona ananisema vibaya na kuninanga kwa kila jambo nitendalo, sasa kwanini ananipa zawadi za kisirisiri mimi?'

Utoto kweli ni utoto tu, puzzle ndogo kama hiyo nikashndwa kuitanzua mapema kwa kichwa changu hadi nilipowekwa wazi!

Sijui via vyangu vya uzazi vilikuwa havijakomaa ama mwalimu alikuwa anatumia oral contraseptive pills!

Ee! Sasa nilishindwaje kumtia mimba mwalimu wangu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza hatua ya kwanza na ya awali kabisa yenye tija, ni kuwa Walimu wa kike wawafindishe watoto wa kike, kadhalika na Walimu wa kiume wawafundishe watoto wa kiume. Yaani kuwe na shule za wasichana peke yao ba wavulana peke yao. Kinyume na hapo, ni sawa na kupaka rangi upepo.

Ahsante.
ahsante kwa mchango wako
 
Mkuu ebu weka wazi uhusiano wa kutembea na mwanafunz na maisha ya ajabu ya familia
Sijakuelewa hapo mzee baba
mhusika anapohukumiwa familia zao zinateseka sana
 
... kwa level za msingi na sekondari ufanyike mkakati wa makusudi ratio ya walimu wa kike iwe kubwa kuliko wa kiume; 3:1 say. Kwa mfano, masomo ya ualimu kwa walimu wa kike serikali igharamie 100% ila wa kiume wapigwe ada kubwa kuwa-discourage kusomea ualimu wa sekondari na msingi yaani ualimu iwe kazi ya kike zaidi. Hapa utaona automatically tatizo litapungua kwa 75%.
hii ni njia nzuri ila tatizo masomo ya science wanawake wa wanayaogopa hivo itakua ngumu kupata mbadala wa masomo haya
 
Mwalimu Safi Sana .... Bikira zote anafumua yeye du raha Sana
 
Kashfa ya ngono kwa watoto (sio wanafunzi kwakuw kesi inayofungilkwa /kosa ni ubakaji ) na si walimu labda kwa kuw zinavuma kwakuw ni watumishi
Swala ni tuponye vp jamii zetu dhidi ya ubakaji wa watoto .
 
Cjaelew lakn
Kutafuna walimu au unamaansh wanafunZi?
Walimu ni sehemu tu.

Wanafunzi wanaliwa sana na jamii zote mtaani ila hazivumi.

Makundi maarufu kwa kutafuna walimu ni haya hapa.

1. Madereva bodaboda,tax,daladala
2. Askari polisi,magereza etc
3.Wauza mitumba
4..Mafundi nguo
5. Mapededjee
 
hili jambo halina suluhu, ikiwa kuna adhabu kali lakini bado mambo yanaendelea unategemea nini? hapa cha msingi ni kudeal na wakosaji wanaojitia ugumu kuheshimu sheria
 
Yani nasikia vibint kuwa na mwalimu ni sifa.Unaambiwa vinaweza pigana kisa mwalimu fulani wanayemtaka.
 
Mzee haujawahi sikia kashifa za walimu wa kike kuwabemenda wanafunzi wa kiume?

Me mwenyewe ni muathirika wa udhalilishwaji huo ni shahidi, lakini kwa mwanaume ni raha halafu ni bonge la sanifu.

Kwanza nilidhani ninachukiwa na huyo mwalimu wangu!

Itwa itwa sana, tumwa tumwa sana hadi nikajihisi mkosefu dhahiri!

Cha ajabu sasa, mtu ninayechukiwa, zawadi ninazobebeshwa kwenye mkoba wangu, eti nisimwambie mtu zikawa zinanichanganya!

Nikawa ninajiuliza: 'hivi huyu mwalimu mbona ananisema vibaya na kuninanga kwa kila jambo nitendalo, sasa kwanini ananipa zawadi za kisirisiri mimi?'

Utoto kweli ni utoto tu, puzzle ndogo kama hiyo nikashndwa kuitanzua mapema kwa kichwa changu hadi nilipowekwa wazi!

Sijui via vyangu vya uzazi vilikuwa havijakomaa ama mwalimu alikuwa anatumia oral contraseptive pills!

Ee! Sasa nilishindwaje kumtia mimba mwalimu wangu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Du mwalimu wa kike alikuwa anataka kukukula kimasihara,ulikuwa form ngapi enzi hizo
 
Back
Top Bottom