Mjukuu wa kigogo JF-Expert Member Joined Sep 19, 2023 Posts 445 Reaction score 1,094 Jun 19, 2024 #1 Huyu ni beki aliyesajiliwa na club ya Yanga ambae usajili wake unaweza kutangazwa muda wowote.Jambo lililoshangaza wadau wengi hasa Sudan kusini anakotokea ni kipi kimewavutia Yanga kumsajili huku akiwa na rekodi ya kuwa na kadi nyingi nyekundu?
Huyu ni beki aliyesajiliwa na club ya Yanga ambae usajili wake unaweza kutangazwa muda wowote.Jambo lililoshangaza wadau wengi hasa Sudan kusini anakotokea ni kipi kimewavutia Yanga kumsajili huku akiwa na rekodi ya kuwa na kadi nyingi nyekundu?
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Jun 19, 2024 #2 Waachie Mainjinia.
Sangizi JF-Expert Member Joined Nov 9, 2015 Posts 1,942 Reaction score 4,230 Jun 19, 2024 #3 Babu yako Kigogo alikuwa akiweka uzi unakuwa umekamilika. Hujaandika jina lake, timu anayotoka au twende google?
Babu yako Kigogo alikuwa akiweka uzi unakuwa umekamilika. Hujaandika jina lake, timu anayotoka au twende google?
kaa chini JF-Expert Member Joined Jun 4, 2022 Posts 1,935 Reaction score 4,048 Jun 19, 2024 #4 Si walisema Yanga imefungiwa kusajiri