Kipi kilisababisha usihudhurie kwenye msiba wa ndugu yako wa damu?

Kipi kilisababisha usihudhurie kwenye msiba wa ndugu yako wa damu?

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
Mimi sikuhudhuria msiba wa mtoto wa shangazi yangu kwa sababu alikuwa shoga wa wazi wazi. Wahenga wengi mnamjua aliitwa Auntie Kessy alikuwa maarufu sana hapa mjini Daslam nyumbani kwa wazazi wake ni Tanga.

Alipofariki ndugu zake wa kiume karibu wote hawakuhudhuria msiba .

Wazazi wake walisusa msiba wake.

Wazazi wake walisusa nyumba aliyo wajengea kwa kuhongwa na mabasha wake.

Kwako wewe sababu ilikuwa nini?
 
Mimi sikuhudhuria msiba wa mtoto wa shangazi yangu kwa sababu alikuwa shoga wa wazi wazi. Wahenga wengi mnamjua aliitwa Auntie Kessy alikuwa maarufu sana hapa mjini Daslam nyumbani kwa wazazi wake ni Tanga.

Alipofariki ndugu zake wa kiume karibu wote hawakuhudhuria msiba .

Wazazi wake walisusa msiba wake.

Wazazi wake walisusa nyumba aliyo wajengea kwa kuhongwa na mabasha wake.

Kwako wewe sababu ilikuwa nini?
Tabia zake hazikupendeza kwenye jamii lakini kama alimuomba msamaha Mwenyezi Mungu kabla ya kifo chake hio ni siri kati yake na Allah kama ame msamehe au laa.

Lakini ndugu kukataa kwenda kwa maziko ya mdogo wao sababu alikuwa mseng…e sio vizuri. Wao walitakiwa wamuage na kumuombea mahfira kwa Mola. Safari ya kifo sio safari ndogo
 
Tabia zake hazikupendeza kwenye jamii lakini kama alimuomba msamaha Mwenyezi Mungu kabla ya kifo chake hio ni siri kati yake na Allah kama ame msamehe au laa.

Lakini ndugu kukataa kwenda kwa maziko ya mdogo wao sababu alikuwa mseng…e sio vizuri. Wao walitakiwa wamuage na kumuombea mahfira kwa Mola. Safari ya kifo sio safari ndogo
Nani aende kujichoresha msibani mkuu? Misiba ya kiswahili unaijua ama unaisikia?

Utasikia hawa ndio wadogo zake na marehemu msenge.
 
Mimi sikuhudhuria msiba wa mtoto wa shangazi yangu kwa sababu alikuwa shoga wa wazi wazi. Wahenga wengi mnamjua aliitwa Auntie Kessy alikuwa maarufu sana hapa mjini Daslam nyumbani kwa wazazi wake ni Tanga.

Alipofariki ndugu zake wa kiume karibu wote hawakuhudhuria msiba .

Wazazi wake walisusa msiba wake.

Wazazi wake walisusa nyumba aliyo wajengea kwa kuhongwa na mabasha wake.

Kwako wewe sababu ilikuwa nini?
Daaah afu alikuwa sauti la base afu kajichubua chubu kabisa alikuwa ,mitaa ya Tropicana mabawa.
 
Mimi sikuhudhuria msiba wa mtoto wa shangazi yangu kwa sababu alikuwa shoga wa wazi wazi. Wahenga wengi mnamjua aliitwa Auntie Kessy alikuwa maarufu sana hapa mjini Daslam nyumbani kwa wazazi wake ni Tanga.

Alipofariki ndugu zake wa kiume karibu wote hawakuhudhuria msiba .

Wazazi wake walisusa msiba wake.

Wazazi wake walisusa nyumba aliyo wajengea kwa kuhongwa na mabasha wake.

Kwako wewe sababu ilikuwa nini?
Aisee siwezi enda kwenye msiba wa shoga na lazima azikwe na manispaa huyo mbwa
 
Mimi sikuhudhuria msiba wa mtoto wa shangazi yangu kwa sababu alikuwa shoga wa wazi wazi. Wahenga wengi mnamjua aliitwa Auntie Kessy alikuwa maarufu sana hapa mjini Daslam nyumbani kwa wazazi wake ni Tanga.

Alipofariki ndugu zake wa kiume karibu wote hawakuhudhuria msiba .

Wazazi wake walisusa msiba wake.

Wazazi wake walisusa nyumba aliyo wajengea kwa kuhongwa na mabasha wake.

Kwako wewe sababu ilikuwa nini?
Bangi tu...
Niliona jamaa anatoka mortuary akiwa ameongozana na YESU, wakiwa na pisi moja Kali sana jamaa kaibambia.
Nikaona wivu, maiti ina pisi Kali hivi halafu Mimi Niko na sabuni, ufala huu
 
Napita tuu, kwanini mnamhukumu kiasi hicho ? angekuwa shoga msiri ungeenda au usingeenda ?

Maake wapo gays wengi nyuma ya pazia na wanafariki na kuzikwa bila kujua alikuwa anafanyiwa michezo!
 
Nimesema ninyi mnawacheka na kuwabeza hao mashoga wenye muonekano ya kike, kwamba wanafanywa na hamtaki kuwaona

Jee, hujui Kuna watu wapo kwenye ushoga, Hana hulka wala haiba za kike ? wanatumika vizuri tuu na wengine ni ndugu, jamaa na marafiki wa karibu lakini mnawapa heshima!

Mimi sitetei uovu au chochote mtu afanyacho akiona ni sawa Ila jaribu kuwaza kuwa kinachotuheshimisha ni namna tunavyoonekana kwa nje zaidi.... Na ndio maana hatutaki watu watujue sana kwasababu ile heshima ukaribu utapungua wakijua na makandokando yetu mengine.....

Good luck 👍
 
Back
Top Bottom