Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Mimi sikuhudhuria msiba wa mtoto wa shangazi yangu kwa sababu alikuwa shoga wa wazi wazi. Wahenga wengi mnamjua aliitwa Auntie Kessy alikuwa maarufu sana hapa mjini Daslam nyumbani kwa wazazi wake ni Tanga.
Alipofariki ndugu zake wa kiume karibu wote hawakuhudhuria msiba .
Wazazi wake walisusa msiba wake.
Wazazi wake walisusa nyumba aliyo wajengea kwa kuhongwa na mabasha wake.
Kwako wewe sababu ilikuwa nini?
Alipofariki ndugu zake wa kiume karibu wote hawakuhudhuria msiba .
Wazazi wake walisusa msiba wake.
Wazazi wake walisusa nyumba aliyo wajengea kwa kuhongwa na mabasha wake.
Kwako wewe sababu ilikuwa nini?