Kipi kilisababisha usihudhurie kwenye msiba wa ndugu yako wa damu?

Kipi kilisababisha usihudhurie kwenye msiba wa ndugu yako wa damu?

Ndiyo maana wenzetu walioendelea na kuchambua haya mambo hawasemi fulani ni gay, wanasema fulani ni "openly gay". Yani kajitambulisha kwa jamii kwamba yeye ni gay.

Maana yake kuna watu wengi ni gay lakini wanajificha.

Sasa hapo unaweza kujifaragua unasusia kuzika gays kumbe kila mwaka unazika gay people hujui tu.

Kwa sababu hawajajitambulisha tu.
Kama anafanya mambo yake kwa siri maana yake sio shoga. Ushoga haupo kwake upo kwenye perception zetu. Tunavyo revolt ni yeye kufanya vitendo kama hivyo hadharani na kutu embarrass ukoo mzima.
 
Mimi sikuhudhuria msiba wa mtoto wa shangazi yangu kwa sababu alikuwa shoga wa wazi wazi. Wahenga wengi mnamjua aliitwa Auntie Kessy alikuwa maarufu sana hapa mjini Daslam nyumbani kwa wazazi wake ni Tanga.

Alipofariki ndugu zake wa kiume karibu wote hawakuhudhuria msiba .

Wazazi wake walisusa msiba wake.

Wazazi wake walisusa nyumba aliyo wajengea kwa kuhongwa na mabasha wake.

Kwako wewe sababu ilikuwa nini?
Kwa hio, hio nyumba anakaa nani sasa?
 
Sasa kama hata hajui nani amemzika tatizo lipo wapi Mimi kutoenda msibani?
Tatizo unamsusia mtu ambaye hata hajui kwamba umemsusia.

Point ya kumsusia ni nini hapo?

Zaidi utawafanya gays wengine wasijitokeze, usiwajue kama ni gay, wafanye u gay wao sirini, wakifa uwazike gays bila kujua hawa gays.

Sasa hapo umetatua tatizo gani?
 
Kama anafanya mambo yake kwa siri maana yake sio shoga. Ushoga haupo kwake upo kwenye perception zetu. Tunavyo revolt ni yeye kufanya vitendo kama hivyo hadharani na kutu embarrass ukoo mzima.
Kwa hiyo shoga akifanya ushoga sirini si shoga?

Huna tatizo na ushoga, una tatizo na familia yenu kuhusishwa na ushoga tu?
 
Kuna hao viongozi flani hivi wa dini wengi Wana hizo mambo za kufukua mitaro ,nyuma ya pazia watu wanajua ni saints
 
Kwa hiyo shoga akifanya ushoga sirini si shoga?

Huna tatizo na ushoga, una tatizo na familia yenu kuhusishwa na ushoga tu?
Naamini wewe ni msomi. Sentensi yangu hata mtoto wa darasa la saba anaweza kuelewa.

Ngoja nikupe analogy,mkeo akiwa anatembea nje ya ndoa na wewe hujui, he ndani ya nafsi yako atakuwa ametoka nje ya ndoa au hajatoka?

Jibu ni atakuwa hajatoka kwa sababu wewe hujajua kama anataka nje ya ndoa.

Ila ukijua ametoka nje ya ndoa basi ndio anakuwa ametoka nje ya ndoa.

Nimekwambia hivi kwa sababu umezungumzia mashoga wanao fanya sirini.

Kama anafanya sirini Mimi NITAJUAJE kama ni shoga sasa ili nisiende kumzika.

Kama anafanya sirini maana yake ni kwamba sio shoga huyo kwa sababu watu hatujui
 
Naamini wewe ni msomi. Sentensi yangu hata mtoto wa darasa la saba anaweza kuelewa.

Ngoja nikupe analogy,mkeo akiwa anatembea nje ya ndoa na wewe hujui, he ndani ya nafsi yako atakuwa ametoka nje ya ndoa au hajatoka?

Jibu ni atakuwa hajatoka kwa sababu wewe hujajua kama anataka nje ya ndoa.

Ila ukijua ametoka nje ya ndoa basi ndio anakuwa ametoka nje ya ndoa.

Nimekwambia hivi kwa sababu umezungumzia mashoga wanao fanya sirini.

Kama anafanya sirini Mimi NITAJUAJE kama ni shoga sasa ili nisiende kumzika.

Kama anafanya sirini maana yake ni kwamba sio shoga huyo kwa sababu watu hatujui
Kutokujua mkeo katoka nje ya ndoa kunafanya mkeo awe hajatoka nje ya ndoa?

Mkeo akitoka nje ya ndoa na kuambukizwa magonjwa ya kujamiiana huko nje ya ndoa, hawezi kuja kukuambukiza ndani ya ndoa kama hujui kuwa kajamiiana nje ya ndoa?
 
Kutokujua mkeo katoka nje ya ndoa kunafanya mkeo awe hajatoka nje ya ndoa?

Mkeo akitoka nje ya ndoa na kuambukizwa magonjwa ya kujamiiana huko nje ya ndoa, hawezi kuja kukuambukiza ndani ya ndoa kama hujui kuwa kajamiiana nje ya ndoa?
Assume magonjwa ya zinaa hayapo
 
Assume magonjwa ya zinaa hayapo
Kwa nini unataka ni assume ukweli haupo?

Point yako ya msingi ni kwamba kitu usichokijua hakipo.

Mimi nakwambia si kweli, kitu kama kipo lakini hukijui, hakipo kwenye mawazo yako lakini kipo tu.

Sasa kwa nini unalazimisha kisipokuwa kwenye mawazo yako kiwe hakipo kabisa?
 
Kwa nini unataka ni assume ukweli haupo?

Point yako ya msingi ni kwamba kitu usichokijua hakipo.

Mimi nakwambia si kweli, kitu kama kipo lakini hukijui, hakipo kwenye mawazo yako lakini kipo tu.

Sasa kwa nini unalazimisha kisipokuwa kwenye mawazo yako kiwe hakipo kabisa?
Tangu ubalekhe ameshafanya ngono bila kinga na wanawake wangapi? Womekuambukiza Ukimwi?

Kufanya sex na mwanamke sio guarantee kwamba atakuambukiza magonjwa ya zinaa
 
Hata Mimi nimemwambia kuwa wapo watu wengi kwenye industry ya gaysm hapa Tz Ila wengi ni bisexual

Sasa wakiwaona Hawa kina aunt ruu na muu wanasema kichefuchefu

Of course muonekano wa kiume then ujiweke girlish Kuna namna ina sound bad,

Ila nawaapia Kuna watu na mibezi, smartness, na ishu nyingi na ni gays na ni rafiki za watu wengi sema unakuta hujui

Mimi nita mzingatia kila mtu kwa nafasi yake sina u- special wowote wa kusema ety simziki huyu, namzika huyu

Hawa ndo wanaochagua misiba ya kuzika na kwenda

Ushenzi mtupu

Binadamu tupendane tuheshimiane, na kuthaminiana...... Japo sio wote lakini at least ujaribu kwa nafasi yako
Wengi Wanajitwika Ukamilifu Wa Kinafki Na Kutoa Hukumu Za Kinafki Kwa Kuwa Ya Kwao Ya Hovyo Yapo Gizani Hatujabahatika Tu Yashuhudia.
 
Tangu ubalekhe ameshafanya ngono bila kinga na wanawake wangapi? Womekuambukiza Ukimwi?

Kufanya sex na mwanamke sio guarantee kwamba atakuambukiza magonjwa ya zinaa
Logical non sequitur fallacy.

Suala si kwamba ukifanya ngono bika kinga ni lazima utaambukizwa UKIMWI.

Suala ni kwamba ukifanya ngono nje ya ndoa umefanya hivyo tu, mke wako akijua au asipojua hilo ni suala tofauti.
 
Back
Top Bottom