Kipi kilisababisha usihudhurie kwenye msiba wa ndugu yako wa damu?

Kipi kilisababisha usihudhurie kwenye msiba wa ndugu yako wa damu?

Tabia zake hazikupendeza kwenye jamii lakini kama alimuomba msamaha Mwenyezi Mungu kabla ya kifo chake hio ni siri kati yake na Allah kama ame msamehe au laa.

Lakini ndugu kukataa kwenda kwa maziko ya mdogo wao sababu alikuwa mseng…e sio vizuri. Wao walitakiwa wamuage na kumuombea mahfira kwa Mola. Safari ya kifo sio safari ndogo
Kwani huwajui Wabongo kwa UNAFIKI.
wao hujihesabia haki na utakatifu, ili hali ni wadhambi kuliko hata hao Mashoga.

Lol
 
Mimi sikuhudhuria msiba wa mtoto wa shangazi yangu kwa sababu alikuwa shoga wa wazi wazi. Wahenga wengi mnamjua aliitwa Auntie Kessy alikuwa maarufu sana hapa mjini Daslam nyumbani kwa wazazi wake ni Tanga.

Alipofariki ndugu zake wa kiume karibu wote hawakuhudhuria msiba .

Wazazi wake walisusa msiba wake.

Wazazi wake walisusa nyumba aliyo wajengea kwa kuhongwa na mabasha wake.

Kwako wewe sababu ilikuwa nini?
Msiba ni suala la watu waliobaki si suala la mtu aliyefariki.

Ukishindwa kumzika ndugu yako kwa sababu alikuwa shoga hapo tatizo ni lako wewe uliyeshindwa kumzika ndugu yako, si la huyo ndugu yako shoga.

Huyo nsugu yako shoga hata hajui nani kamzika, kwa sababu alizikwa wakati kashafariki.
 
Mimi sikuhudhuria msiba wa mtoto wa shangazi yangu kwa sababu alikuwa shoga wa wazi wazi. Wahenga wengi mnamjua aliitwa Auntie Kessy alikuwa maarufu sana hapa mjini Daslam nyumbani kwa wazazi wake ni Tanga.

Alipofariki ndugu zake wa kiume karibu wote hawakuhudhuria msiba .

Wazazi wake walisusa msiba wake.

Wazazi wake walisusa nyumba aliyo wajengea kwa kuhongwa na mabasha wake.

Kwako wewe sababu ilikuwa nini?
Alizikwa na nani?!
 
Msiba ni suala la watu waliobaki si suala la mtu aliyefariki.

Ukishindwa kumzika ndugu yako kwa sababu alikuwa shoga hapo tatizo ni lako wewe uliyeshindwa kumzika ndugu yako, si la huyo ndugu yako shoga.

Huyo nsugu yako shoga hata hajui nani kamzika, kwa sababu alizikwa wakati kashafariki.
Nimemuuliza maswali kadhaa hapo juu anazingua

Ubinadamu uhusike mengine tumuachie muhusika MWENYEWE na alichokuwa anaamini
 
Anti kessy miaka ya 90 nilikuwa namuona maeneo ya sayansi kijitonyama akivuka Barbara ya bagamoyo uku akijitingisha vitako vyake
 
Nimemuuliza maswali kadhaa hapo juu anazingua

Ubinadamu uhusike mengine tumuachie muhusika MWENYEWE na alichokuwa anaamini
Halafu kwa mujibu wa misingi yao ya maadili dhambi ziko nyingi sana.

Kwa nini hii dhambi ya ushoga inapewa u special sana?

Angekuwa na ndugu zake tofauti, muuaji, muuza madawa ya kulevya, muongo, mzinzi, na hao nao angesusia kuwazika?

Akisusia kuzika kila ndugu yake mwenye dhambi atazika mtu kweli?
 
Halafu kwa mujibu wa misingi yao ya maadili dhambi ziko nyingi sana.

Kwa nini hii dhambi ya ushoga inapewa u special sana?

Angekuwa na ndugu zake tofauti, muuaji, muuza madawa ya kulevya, muongo, mzinzi, na hao nao angesusia kuwazika?

Akisusia kuzika kila ndugu yake mwenye dhambi atazika mtu kweli?
Hata Mimi nimemwambia kuwa wapo watu wengi kwenye industry ya gaysm hapa Tz Ila wengi ni bisexual

Sasa wakiwaona Hawa kina aunt ruu na muu wanasema kichefuchefu

Of course muonekano wa kiume then ujiweke girlish Kuna namna ina sound bad,

Ila nawaapia Kuna watu na mibezi, smartness, na ishu nyingi na ni gays na ni rafiki za watu wengi sema unakuta hujui

Mimi nita mzingatia kila mtu kwa nafasi yake sina u- special wowote wa kusema ety simziki huyu, namzika huyu

Hawa ndo wanaochagua misiba ya kuzika na kwenda

Ushenzi mtupu

Binadamu tupendane tuheshimiane, na kuthaminiana...... Japo sio wote lakini at least ujaribu kwa nafasi yako
 
Hata Mimi nimemwambia kuwa wapo watu wengi kwenye industry ya gaysm hapa Tz Ila wengi ni bisexual

Sasa wakiwaona Hawa kina aunt ruu na muu wanasema kichefuchefu

Of course muonekano wa kiume then ujiweke girlish Kuna namna ina sound bad,

Ila nawaapia Kuna watu na mibezi, smartness, na ishu nyingi na ni gays na ni rafiki za watu wengi sema unakuta hujui

Mimi nita mzingatia kila mtu kwa nafasi yake sina u- special wowote wa kusema ety simziki huyu, namzika huyu

Hawa ndo wanaochagua misiba ya kuzika na kwenda

Ushenzi mtupu

Binadamu tupendane tuheshimiane, na kuthaminiana...... Japo sio wote lakini at least ujaribu kwa nafasi yako
Ndiyo maana wenzetu walioendelea na kuchambua haya mambo hawasemi fulani ni gay, wanasema fulani ni "openly gay". Yani kajitambulisha kwa jamii kwamba yeye ni gay.

Maana yake kuna watu wengi ni gay lakini wanajificha.

Sasa hapo unaweza kujifaragua unasusia kuzika gays kumbe kila mwaka unazika gay people hujui tu.

Kwa sababu hawajajitambulisha tu.
 
Ndiyo maana wenzetu walioendelea na kuchambua haya mambo hawasemi fulani ni gay, wanasema fulani ni "openly gay". Yani kajitambulisha kwa jamii kwamba yeye ni gay.

Maana yake kuna watu wengi ni gay lakini wanajificha.

Sasa hapo unaweza kujifaragua unasusia kuzika gays kumbe kila mwaka unazika gay people hujui tu.

Kwa sababu hawajajitambulisha tu.
Uko sahihi kabisa ndo nilichomuuliza unawajua watu zaidi?

Au kwakuwa tukiwa vijiweni na humu ukisikia waganga ndo wanapinga, sijui wenye dhambi wanawasema

Kumbe yeye ni binadamu basi Mimi naona ni muongo tuu
 
Msiba ni suala la watu waliobaki si suala la mtu aliyefariki.

Ukishindwa kumzika ndugu yako kwa sababu alikuwa shoga hapo tatizo ni lako wewe uliyeshindwa kumzika ndugu yako, si la huyo ndugu yako shoga.

Huyo nsugu yako shoga hata hajui nani kamzika, kwa sababu alizikwa wakati kashafariki.

Sasa kama hata hajui nani amemzika tatizo lipo wapi Mimi kutoenda msibani?
 
Back
Top Bottom