Kipi kilisabisha mkachapwa Darasa zima kipindi unasoma?

Kipi kilisabisha mkachapwa Darasa zima kipindi unasoma?

THE BEEKEEPER

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2024
Posts
1,462
Reaction score
7,157
Madame wa biology aliingia class akakuta board ni chafu. Akaniambia kwa kuwa nimeshindwa ku-sort mtu afute, basi nikafute mimi. Nimeenda kufuta ubao, nikatafuta duster cleaner, nikaikosa. Naangalia kwenye ki-box cha chalk, nikakuta kitambaa fulani cheupe. Nikakichukua nikasafishia ubao.

Madame kapigisha pindi, akaenda mezani kwake, akachukua lesso yake ajifute kijasho. Kumbe kile kitambaa nilichofutia ubao ni lesso ya madame! Aiseee! Akapitisha usoni... kilichofuata hapo 😭.
 
Tulimwekea mwalimu wa kike kioo chini tukamchungulia chupi yake na kuhadithiana darasa zima....Mpaka leo nakumbuka Chupi ilikuwa ya pink then jamaa akaichora ile chupi ubaoni....

Yule Mwl na Mume wake wote walikuwa Waalimu...baadae Mumewe akajua daah
 
Madenge aliandika anampenda Silvia na anataka amtombe. Tukiwa darasa la Tano. Nachapwa pamoja na darasa la tano kisa Madenge.

Ndo mara ya kwanza nasikia neno "ngono". Sio Kwa fimbo zile na madenge alivyoona walimu wanakuja na fimbo akaruka dirishani na kuacha shule.

Fimbo tukala ambao hata neno ngono hatulijui aisee. Duh umenikumbusha mbali, 2004!
 
Tulimwekea mwalimu wa kike kioo chini tukamchungulia chupi yake na kuhadithiana darasa zima....Mpaka leo nakumbuka Chupi ilikuwa ya pink then jamaa akaichora ile chupi ubaoni....

Yule Mwl na Mume wake wote walikuwa Waalimu...baadae Mumewe akajua daah
Ah nyie kweli mlikua watukutu. Sisi walimu walimshika kaka mkuu na dada mkuu vichakani wakawaleta ofisini wakawaweka kwenye meza wanawalazimisha wafanye walivyokua wanafanya. Kidogo tuvunje malango ili tuchungulie. Ila wale walimu walikua wapumbavu.
 
Tuliruka ukuta kwenda kijijini wanapouza pombe za kienyeji. Tulikuta teacher wa math kalewa anafanya fujo.

Walevi wakaanza kumchapa na sisi tukaunga kumpiga. Mmoja wetu alichukua saa ya teacher.

Baada ya kupona akaja darasani na kumuona jamaa na saa yake. Kumbukumbu ikamjia kuwa kuna baadhi ya wanafunzi walishiriki kumdunda. Hakuwa na ushahidi ila kulipiza kisasi alichapa darasa zima kwa sababu za kizembe.
 
Hizi ndo mada za kijinga kijinga za watanzania pamoja na kua na elimu akili zao nikama za watoto wachekechea ndo maana CCM elisha watengeneza kua na skili ndogo itatawala mpaka basi hamna critical thinker wa kupindua meza.
Hizi ndo mada za kijinga kijinga za watanzania pamoja na kua na elimu akili zao nikama za watoto wachekechea ndo maana CCM elisha watengeneza kua na skili ndogo itatawala mpaka basi hamna critical thinker wa kupindua meza.
Ni kweli mkuu ila kuwa serious all the time Mapumbu yanachoka.
 
Tukiwa form3 2016 Madam wa History kaingia na Jazba zake anaongea vtu havieleweki na maswali mengi ya ajabu students tukawa tunamzoom tu kwanza tuliona anatuchefua tu Sisi ni watu wa masomo ya Science, bas akatutukana waoneni wajinga ninyi.

Kuna jamaa akaropoka muone na minywele yako, tukaulizwa ni nani kasema hvo wote kimya bas tukatolewa nje wote pigwa sana na staff nzima.
 
Tuliruka ukuta kwenda kijijini wanapouza pombe za kienyeji. Tulikuta teacher wa math kalewa anafanya fujo.

Walevi wakaanza kumchapa na sisi tukaunga kumpiga. Mmoja wetu alichukua saa ya teacher.

Baada ya kupona akaja darasani na kumuona jamaa na saa yake. Kumbukumbu ikamjia kuwa kuna baadhi ya wanafunzi walishiriki kumdunda. Hakuwa na ushahidi ila kulipiza kisasi alichapa darasa zima kwa sababu za kizembe.
Hahaha noma na nusu
 
Madenge aliandika anampenda Silvia na anataka amtombe. Tukiwa darasa la Tano. Nachapwa pamoja na darasa la tano kisa Madenge.

Ndo mara ya kwanza nasikia neno "ngono". Sio Kwa fimbo zile na madenge alivyoona walimu wanakuja na fimbo akaruka dirishani na kuacha shule.

Fimbo tukala ambao hata neno ngono hatulijui aisee. Duh umenikumbusha mbali, 2004!
Du!
 
Sie walimu tuliokuwa tunatoa dozi darasa zima tukoment wapi???

Nilikuwa nafundisha math na phys mtihani wangu chini ya 50 bakora za kutosha....kidato kizima walikuwa hawafiki...madarasa yalikuwa matano kila darasa wanafunzi wachache 80 form 4 hiyo...

Shule za kata ni kama kuzimu ukisema ufundishe kazikazi

Sema kuchapa darasa zima nalo zoezi aisee.....
 
Wakati tuko darasa la 7 miaka hiyo watu wanasoma huku tayari wameota ndevu na mavuzi, mjinga mmoja akamuandikia barua ya kumtongoza mwalimu mkuu halafu hakuweka hata jina lake ila alitaja darasa analosoma......kilichofuatia ilikuwa ni kama vile mateka wa ki Israel tumepelekwa kambi ya kijeshi huko Hamas
 
Back
Top Bottom