Nakumbuka alikuwa mwalimu wa phyz aliita wanafunzi kama wa4 wakajibu swali pale mbele, asa mm nikawa natafuna zangu karatasi ili nimpige nalo mtu, wakat namtupia mtu hilo karatasi kati ya wale walioko pale mbele si mwalimu likampiga mdomoni mwakeeπ asa mwalimu alivyo mjinga akachagua upande lilipotokea lile karatasi akaacha ule upande wangu nlipokuwa, na alieniona n demu flan na hakusema na alikuwa upande wa mwalimu aliouchagua, aloooh!!! Walikula mbokoooo kama nne nne hv, ila mimi Aaah!ππππ