Alidhibiti vizuri uwekezaji kwa kuhakikisha wababaishaji na uwekezaji usiokua na tija kwa maendeleo haupati nafasi. Hao wababaishaji ndio wanaojidai wamekimbia.Nanukuu"
Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.
Swali linakuja unauhakika mamlaka iliyomteua haijapendezwa na hicho nilichonukuu hapo?
Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!
Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!
Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"
Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!
Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!
Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!
JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!
Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!
UPDATE:
Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!
Utani huu!!
U-TISS tu ndo unambeba
Habari ndo hiyo sasa; hint moja kuwajua hawa jamaa wanakuwa hawana Umahiri wala Ufanisi wowote kwenye nafasi wanazoshika lakini huwezi kuona waachwe kwenye nafasi za Utawala, sanasana wanakuwa wanahama tu mara hapa mara pale...Duuu watu Mna chunguzaaa,
Watu mna deeo info!
Ila Hata kama ni TISS kuna Ubaya?
Hiyo sekta ni Muhimu sana ni bora achaguliwe TISS!
Ila Nimecheka sana sana Mkuu kama vile una Inside info???hahhaa
Ukitafakari sana....
Nje kabisa ya mada!Kwani Mbowe ni kipi kimemfanya awaonee wivu wanawake kuingia viti maalum?
Habari ndo hiyo sasa; hint moja kuwajua hawa jamaa wanakuwa hawana Umahiri wala Ufanisi wowote kwenye nafasi wanazoshika lakini huwezi kuona waachwe kwenye nafasi za Utawala, sanasana wanakuwa wanahama tu mara hapa mara pale...
Na hata mwonekano wao, nguo wanazovaa nk. hawako presentable wanavaa kipolisipolisi tu, sura ngumu!
Mwambe alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Manyoni....mara vuuuuuumpuuu, Mkurugenzi wa TIC; na hapo hakuna alilofanya zaidi ya kuspy Wawekezaji au Wafanyabiashara wanapata wapi mitaji yao,halaf anareport kwa Jiwe,hakuwekwa pale kurahisisha Uwekezaji bali kukusanya taarifa za kiintelejensia za Wawekezaji
Kwa hiyo Mkuu.....akili za kuambiwa changanya na zako!
Akili mbovu za Kilumumba hizi manake huwa mnakurupuka tu na kuandika bila kuelewa!!Rais anachagua watu wa kumsaidia yeye kutekeleza ilani na aliyowaahidi watanzania. Suala la nani anajulikana wapi halina umuhimu, hata kama waziri hajulikani akishateuliwa atajulikana. Rais hachagui watu wa kupiga dili anachagua watendaji.
Mawazo yako yanaonyesha ulivyo mufilisi kabisa. Hujui majukumu ya waziri wala wizara.
Yaani unataka Rais kabla hajateua aanze kufikirisha kichwa nani anafahamika wapi! Thinking ya ajabu kabisa.
Guys... simzungumzii Mwambe kama Waziri, nilikuwa nahoji exposure yake Mkurugenzi wa TIC. Nimeambiwa huko TIC alifeli, ndo nikahoji endapo alikuwa na exposure yoyote kwa sababu Mkurugenzi wa TIC anatarajiwa kuvutia FDI !!!chege mengi ya uliyoyaandika upo sahihi mno. Ila kwa wateule wa mheshimiwa wetu, Mwambe ndo reformer wa kweli kama ataachiwa afanye reforms na kama hatakuwa mwenye kuogopa unforeseen consequences za bwana yule. The guy is smart and ready to make changes. Shida iko kule tu njia ferry.
Nakubaliana na wewe kwa 100% kwamba, pale inapobidi, unaweza kufanya hata head hunting kutoka nje ya mipaka!!!Mkuu, hoja yako kuhusu Qualification vs Exposure ina uzito sana. Baadhi ya nafasi ni heri hata kuajiri CEO toka nje ya nchi kuliko kuwapa wanasiasa. Wanasiasa wanaweza kuwa na bidii na nia nzuri lakini wakakosa 'exposure' na hilo likapunguza ufanisi kwa kiasi kikubwa. Kwa kweli hata wizara ya Utalii haifai kuongozwa na wanasiasa. Ingefaa kuajiri CEO mwenye 'field experience' halafu anawekewa vijana wa 'kitengo' wafuatilie nyendo zake kwa maslahi ya taifa.
Nimeona hiyo wakati najaribu kutafuta kabla ya u-DC kafanya kazi wapi na wapi!!!Mkuu umeongea point tupu, japo simjui sana jamaa lakini nahisi ni mtu wa kitengo maana licha ya madudu kaula, amekuwa TIC kutokea kwenye uDC na pia ni memba wa bodies za BOT Na ttcl mobile.
Masisiemu Sasa ndio yamejua kiasi ambacho magufuli hawaamini.Wakuu amani iwe nanyi,
Jana Mh Rais ameteua baraza la mawaziri na miongoni wa mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.
Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.
Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.
Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
Ukiona mtu anakulaumu au kukuzodoa badala ya kukupongeza kwa unavyofananisha mchele na kunde basi jua huyo HAJUI AKILICCM ZILIVYO!!Mbona ukiiangalia Chadema kuna watu Wana elimu kubwa na CV kubwa lakini hawapewi nafasi za Uongozi? Mfano kwenye nafasi za Uenyekiti wa Chama na mbaraza yake ukiiangalia utaona wakina Mbowe na wachaga wenzake wamejazana fuatilia elimu zao hovyo kabisa
Uongo huu mkuuMdogo wake na Marehemu BEN MKAPA
BOT and Mimistry of Foreign Affairs & International CooperationNimeona hiyo wakati najaribu kutafuta kabla ya u-DC kafanya kazi wapi na wapi!!!
Hayo pia nimeyaona lakini naona info kama bado chache mno! Kwa mfano hapo Foreign Affair, nimeona alikuwa Mkurugenzi wa Biashara BUT for ONLY one year... kabla ya hapo alikuwa anafanya nini... sijapata!!BOT and Mimistry of Foreign Affairs & International Cooperation
Kwani Mbowe ni kipi kimemfanya awaonee wivu wanawake kuingia viti maalum?
Ok, siwezi kuelezea exposure yake cause nna limited info juu ya kile nachofahamu kumhusu yeye, lakini katika hali ya kawaida kuwa mkurugenzi wa TIC kwa miaka hiyo mitatu, ni forum tosha ya kuwa na exposure na kutengeneza networks na Investors and Business Mogul. Ikiwa katika kipindi chake alivutia wawekezaji wengi kwa kiasi gani, hilo ni swali gumu lakini naamini hata ww una majibu yake. Muwekezaji kuwekeza Tz kwa sasa ni zaidi ya nani Bosi wa TIC. Hata Julieth angekuwa chini ya administration hii nadhani asingevutia hata unyayo wa muwekezaji. Backup ya top guy ni muhimu.Guys... simzungumzii Mwambe kama Waziri, nilikuwa nahoji exposure yake Mkurugenzi wa TIC. Nimeambiwa huko TIC alifeli, ndo nikahoji endapo alikuwa na exposure yoyote kwa sababu Mkurugenzi wa TIC anatarajiwa kuvutia FDI !!!
Ni kutokana na hilo, ndo maana nikamlinganisha na Julieth Kairuki... huyu hakuwa Waziri bali Mkurugenzi wa TIC!