Kipi kimemfanya Geofrey Mwambe aliyekuwa Mkurugenzi (Director) wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kuteuliwa kuwa Waziri wa Biashara na Viwanda?

Hakuna vetting ya uwaziri. Baba akikupenda hata wewe unapewa cheo.
Baba akupende tuu.
 
Ingawaje umekosa ujasiri wa kunitaja, lakini mimi ndie nimehoji exposure yake na kuhusisha na kazi yake ya u-DC!

Mosi, unachanganya madesa kati ya EXPOSURE, JOB POST na WORK EXPERIENCE!!

Exposure haiangalii umefanya kazi kwa miaka mingapi ingawaje kadri unavyofanya muda mrefuzaidi kupitia right job ndipo unapanua your exposure pool!! Kinyume chake, exposure ita-judge umefanya kazi ipi na kwa interaction ya kiwango gani with a target group!!

Kwavile hoja yangu ilijikita kwenye nafasi ya Mwambe kama Mkurugenzi wa TIC, basi target group hapo ni business community, especially from foreign world kwa sababu huko ndo tunatarajia kupata Foreign Direct Investment- FDI!!

Now tell me: Kuna interaction ipi na kwa kiwango kipi kati ya Economist anayefanya kazi kwenye International Economics Department na Business Community especially from the foreign world!!

Mkurugenzi wa Bodi ya BoT as well as Mkurugenzi wa Bodi ya TRA wana interaction ipi na kwa kiwango gani with a target group as far as TIC is concerned?!

Ni matumaini yangu phrase "international economics" haitakupofusha na kudhani au kuamini kwamba hapo alikuwa ana-deal na International Business Community kwa sababu tu kuna keyword "international"!

And I repeat point yangu ya awali "...kwa interaction ya kiwango gani with a target group."

Kukuonesha umuhimu wa interaction with a target group, chukulia mfano wa Credit Manager na Branch Manager wa CRDB or any other commercial bank!!

Hapo Branch Manager ni Bosi wa Credit Manager BUT Credit Manager ana exposure kubwa na Business Community kuliko Branch Manager!!

Hawa wawili ikiwa wanaacha kazi pamoja, na kila mmoja anaenda kufungua Consultants Business Firm basi Credit Manager anaweza kufanikiwa kwa haraka zaidi kuliko Branch Manager kwa sababu huyu Credit Manager tayari ana business community members kibao aliofanya nao kazi DIRECTLY compared na huyu BM aliyekuwa tu anafanya loans approval with some little chat!!

That's what we call exposure... people with direct interaction with groups of our interests!!!

Hayo manafasi ya Ukurugenzi wa wizara gani sijui ni manafasi ya kutenegeneza sera tu hayo, na wala hayana direct interaction with outside the wordl!

But on top of that, Tanzania kama taifa inatakiwa kubadilika kwa kufahamu baadhi ya nafasi zinahitaji watu wenye uzoefu na corporate culture kwa sababu bureaucracy and public sector are brothers and cousins wherever you go.

Kuna baadhi ya taasisi, hata kama ni public, hizo kwa nature yake hazihitaji urasimu na ndio maana unashauriwa kuwa na watu wenye uzoefu na corporate culture!!

Mzee wa Msoga niliyemtolea mfano yeye aliliona hilo na ndio maana taratibu akaanza kuingiza corporate culture kwenye public sector hatua kwa hatua!!

Hapo ndipo akamvuta Rished Bade kutoka Barclays, akamvuta Omar Issa ambae hapo kabla hajateuliwa na JK, alikuwa CEO wa Climate Facility for Africa (aiming at improving investment climate in Africa)! Aidha akamvuta Julieth Kairuki na kumweka TIC pamoja na James Mataragio aliyemteua u-DG pale TPDC!!

Tatizo la Mzee wa Msoga hakuwa mfuatiliaji... alikuwa kwenye utopia!!

That's what we call corporate culture inayotoa direct interaction na corporate world na sio hawa wakaa kwenye viti vya kuzunguka kusubiri kutengeneza sera ambazo hata hazitekelezwi!!
 
Dah!!

I'm speechless!!!

Yaani nakulipa kodi that has to finance public services, nakulipa tozo mbalimbali, napunguza tatizo la ajira na hatimae kukupa kodi through waajiriwa na bado unaniambia nikujengee madarasa badala ya kuniandalia mazingira mazuri ya kibiashara ili hatimae niunde sustainable coroprate social responsibility!!

We have a very long way to go!!
 


Mkuu Julieth Kairuki baada ya kupewa hiyo post alifanyaje?
 
Msikilize RAIS alidikeza baada ya kuwaapisha kuwa hakufanya vizuri alipokuwaTIC
 
Hujafanya utafiti wako vizuri.. kabla ya kuteuliwa kuwa DC Manyoni Mwambe alikua ofisa mwandamizi (Mkurugenzi) Benki Kuu..
 
CC: Chige
 
Bora Mwambe kuliko yule toka Mkoa wa Walima ndizi kwa wingi
 
We mzee wewe...
 
Issue ya wawekezaji kukimbia huyu jamaa mnamuonea,utawala huu ni kizungumkuti sana wenyewe unachojali ni kukusanya kodi na faini zakibabe,nimeona ka clip kadogo ka huyu waziri akilalakia kero wanazopata wafanyabiashara naamini kinachozungumzwa juu yake si chakweli
 
Ingawa kafanya kazi BOT etc ila SIO COMPETENCE kwenye hiyo nafasi... Zamani when yuko BOT alikuwa very close na Bernard Membe.
 
This is very shallow analysis, kweli elimu yetu imeshuka vibaya!! Yaani mtu mzima anabeza eti DC wa Manyoni hawezi kuwa Mkurugenzi TIC? Hakuna njia nzuri katika utumishi wa umma kuliko kupitia chini. Meneja wa benki ni lazima apitie kuwa teller; Meneja wa TANESCO lazima aanze kusona mita. Mkuu wa Polisi lazima aanzie constable. Kadiri mtu anavyozidi kupanda ngazi ndiyo mambo ya umakini, uzalendo na ufuatiliaji yanaingia, nayo pia ni muhimu sana, pengine even more. Lakini kwanza anzie grassroots.

Sijaona chochote kinachomtolea Mhe Geoffrey sifa ya kuongoza Wizara aliyopewa. Come to that, boss wake aliaanza kama mwalimu wa kemia shule ya secondary ya buswelu, nani alijua mbele atakuta makanikia yanaibiwa? AuCorona?
 
kufichiana siri.
 
Arekebishe na BOT na TRA kwenye akina masamaki wengi mno, akiweza huko hakika ataisaidia Nchi kupiga hatua kimaendeleo kwa kasi kubwa mno
Mzee BOT na TRA wamekukosea nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. maana umewataja katika kila post yako
 
Mkuu upo sahihi kabisa, kwenye wizara kama Viwanda na biashara, pia taasisi kama TIC inatakiwa iende kicorporate zaidi kuliko kwenda kiserikali, as you said bureaucracy na public institutions ni samaki na maji. Viongozi wengi wanaochaguliwa wamekulia kwenye userikali hivyo sidhani kama wana exposure ya kutosha kuendana na mahitaji ya foreign investors
 
Politicians don't bother how genius you're, they consider how much you supported them.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…