Kipi kimewafanya wadada kuwa tayari kuolewa upesi upesi?

Kipi kimewafanya wadada kuwa tayari kuolewa upesi upesi?

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Unaweza fikiria kuwa natania lakini hii ndio hali halisi kwa sasa, wadada wamekuwa wepesi sana wa kukubali ofa za kuolewa tofauti na hapo awali

Sasa hivi kama geto kwako una kitanda, godoro, jiko gesi na henka za kutundikia nguo hukataliwi kabisa kuoa /kuwoa tena na pisi kali kinoma ambazo zamani zilitaka wenye vitambi & tubaby walker
 
Ndo maana huwa tunasema
Mwanaume ndie anakosea kuoa
Ila hakuna mwanamke anaekosea kuolewa.

Wanawake wengi wana maono ya mbali.
Unaweza kujiona HunA pesa Wala Mali kwasasa, ila mpenz wako keshaona utakuja kua na pesa sana baadae.

Kwaiyo
Huamua kujitosa hivyo hivyo pesa na mali atakutana navyo mbeleni uko.

Ukishaoa ndo ushangaa pesa na mali jinsi zinavyoflow upande wako.

Ndo maana matajiri wengi ukiwauliza,
Watakwambia wamepata Sana Mali baada ya kuoa.

My Confession,
Mi mwnyw pesa ya kubadilishia mboga,ela ya bia, posho ya meza nyumban na kwa Michepuko yangu vyote nmepata baada ya kuoa.

Wito wangu,
Vijana tuoe, Ndoa Zinakuja na baraka zake[emoji4]
 
[emoji1787]
Usinipopoe, Natania bhana[emoji28]
IMG_20220127_093328.jpg
 
Ndo maana huwa tunasema
Mwanaume ndie anakosea kuoa
Ila hakuna mwanamke anaekosea kuolewa.

Wanawake wengi wana maono ya mbali.
Unaweza kujiona HunA pesa Wala Mali kwasasa, ila mpenz wako keshaona utakuja kua na pesa sana baadae.

Kwaiyo
Huamua kujitosa hivyo hivyo pesa na mali atakutana navyo mbeleni uko.

Ukishaoa ndo ushangaa pesa na mali jinsi zinavyoflow upande wako.

Ndo maana matajiri wengi ukiwauliza,
Watakwambia wamepata Sana Mali baada ya kuoa.

My Confession,
Mi mwnyw pesa ya kubadilishia mboga,ela ya bia, posho ya meza nyumban na kwa Michepuko yangu vyote nmepata baada ya kuoa.

Wito wangu,
Vijana tuoe, Ndoa Zinakuja na baraka zake[emoji4]
Hakika kaka
 
Ndo maana huwa tunasema
Mwanaume ndie anakosea kuoa
Ila hakuna mwanamke anaekosea kuolewa.

Wanawake wengi wana maono ya mbali.
Unaweza kujiona HunA pesa Wala Mali kwasasa, ila mpenz wako keshaona utakuja kua na pesa sana baadae.

Kwaiyo
Huamua kujitosa hivyo hivyo pesa na mali atakutana navyo mbeleni uko.

Ukishaoa ndo ushangaa pesa na mali jinsi zinavyoflow upande wako.

Ndo maana matajiri wengi ukiwauliza,
Watakwambia wamepata Sana Mali baada ya kuoa.

My Confession,
Mi mwnyw pesa ya kubadilishia mboga,ela ya bia, posho ya meza nyumban na kwa Michepuko yangu vyote nmepata baada ya kuoa.

Wito wangu,
Vijana tuoe, Ndoa Zinakuja na baraka zake[emoji4]
DeepPond umenena vizuri Sana hongera
 
Back
Top Bottom