Kipi kimewafanya wadada kuwa tayari kuolewa upesi upesi?

Kipi kimewafanya wadada kuwa tayari kuolewa upesi upesi?

Unaweza fikiria kuwa natania lakini hii ndio hali halisi kwa sasa, wadada wamekuwa wepesi sana wa kukubali ofa za kuolewa tofauti na hapo awali, sasa hivi kama geto kwako una kitanda, godoro, jiko gesi na henka za kutundikia nguo hukataliwi kabisa kuoa /kuwoa tena na pisi kali kinoma ambazo zamani zilitaka wenye vitambi & tubaby walker
thamani ya mtoto wa kiume inaanza akiwa na miaka 25 hapo kidogo mtoto wa kiume anakuwa anaweza kujitegemea kutokana na maisha ya jamii yetu.

ila mtoto wa kike thamani yangu inashuka akifikisha miaka 24 tu.

sasa lazimq wakubali kuolewa haraka sana maana wakifuka 24 wanaonekana sio dili tena na wanapoteza mvuto wao kiasi fulani na uwaathiri kisaiklojia mpaka wanaamini wana nuksi
 
Mkuu umeongea ukweli wadada sasaiv asilimia kubwa wanawaza kuolewa nimeisha tongoza mademu karbia 10 wote wananiambia habari za kuoa . Mimi nazani shida kubwa ni ugumu wa maisha
Mkuu nipasie hapo pisi3 nichague mmoja
 
Acha kuchukua wanawake desperate over 30, warembo wa miaka 20-23 hawana mawazo ya kuolewa wala huwezi kuta anakuambia habari za ndoa.
 
Wanawake wanaona mbali.

1. Wanajua idadi yao ni kubwa kuliko ya wanaume. Kwa hiyo, akikosa chansi moja, anaweza asiipate tena kamwe, abaki kuwa ajuza.

2. Wanawake wana namna wanaweza "kunusa" mwanaume ambaye ana "nyota" ya kufanikiwa baadae. Kwa hiyo, hata kama wewe mvulana huna pesa ili mradi unaweza kulipia chumba na una godoro na matandiko yake, anaweza kukubali umwoe ili mradi anayegemea utafanikiwa baadae, hata kama huna kitanda cha 6×6

3. Mkiwa mnaishi wawili gharama za chakula ni ndogo kuliko kama kila mmoja anajinunulia. Hata hivyo, zile hela alizokuwa ananunulia chakula hatazitumia tena maana wewe mwanaume ndiwe utakuwa unataka.

4. Msichana akiwa anaishi peke yake anapata taabu sana ya kumpata mtu wa kumpa penzi. Lakini akiwa na wewe kama mumewe, kila akihitaji anajua hutalaza damu.

Kuna sababu nyingine lakini hizi zinatosha. Hao wanaoringa-ringa ni wadangaji tu wanaotegemea kumpata mwanaume mwenye hela
 
Ndo maana huwa tunasema
Mwanaume ndie anakosea kuoa
Ila hakuna mwanamke anaekosea kuolewa.

Wanawake wengi wana maono ya mbali.
Unaweza kujiona HunA pesa Wala Mali kwasasa, ila mpenz wako keshaona utakuja kua na pesa sana baadae.

Kwaiyo
Huamua kujitosa hivyo hivyo pesa na mali atakutana navyo mbeleni uko.

Ukishaoa ndo ushangaa pesa na mali jinsi zinavyoflow upande wako.

Ndo maana matajiri wengi ukiwauliza,
Watakwambia wamepata Sana Mali baada ya kuoa.

My Confession,
Mi mwnyw pesa ya kubadilishia mboga,ela ya bia, posho ya meza nyumban na kwa Michepuko yangu vyote nmepata baada ya kuoa.

Wito wangu,
Vijana tuoe, Ndoa Zinakuja na baraka zake[emoji4]
Version hiyo ya Ke za kuizoom future ya mwanaume siku hizi wapo wachache nina wanangu watatu tulimaliza nao chuo, walipigwa chini na mademu zao kipindi wanasota, sasa hivi wote wapo vizuri. Kila nikiwatizama mmoja naona kasahau machungu kidogo wazo la kuoa analo, ila hawa wawili, wana hasira na wanawake wanatembeze rungu kama kipepe.

Wanawake wa siku hizi, wachache sana wanaweza kuvumilia ila wengi wao hawa huwezi msoto.
 
Version hiyo ya Ke za kuizoom future ya mwanaume siku hizi wapo wachache nina wanangu watatu tulimaliza nao chuo, walipigwa chini na mademu zao kipindi wanasota, sasa hivi wote wapo vizuri. Kila nikiwatizama mmoja naona kasahau machungu kidogo wazo la kuoa analo, ila hawa wawili, wana hasira na wanawake wanatembeze rungu kama kipepe.

Wanawake wa siku hizi, wachache sana wanaweza kuvumilia ila wengi wao hawa huwezi msoto.
Slay queens ndo hawawezi vumilia
 
Unaweza fikiria kuwa natania lakini hii ndio hali halisi kwa sasa, wadada wamekuwa wepesi sana wa kukubali ofa za kuolewa tofauti na hapo awali, sasa hivi kama geto kwako una kitanda, godoro, jiko gesi na henka za kutundikia nguo hukataliwi kabisa kuoa /kuwoa tena na pisi kali kinoma ambazo zamani zilitaka wenye vitambi & tubaby walker
Mama D, wapi wewe?
 
Ndo maana huwa tunasema
Mwanaume ndie anakosea kuoa
Ila hakuna mwanamke anaekosea kuolewa.

Wanawake wengi wana maono ya mbali.
Unaweza kujiona HunA pesa Wala Mali kwasasa, ila mpenz wako keshaona utakuja kua na pesa sana baadae.

Kwaiyo
Huamua kujitosa hivyo hivyo pesa na mali atakutana navyo mbeleni uko.

Ukishaoa ndo ushangaa pesa na mali jinsi zinavyoflow upande wako.

Ndo maana matajiri wengi ukiwauliza,
Watakwambia wamepata Sana Mali baada ya kuoa.

My Confession,
Mi mwnyw pesa ya kubadilishia mboga,ela ya bia, posho ya meza nyumban na kwa Michepuko yangu vyote nmepata baada ya kuoa.

Wito wangu,
Vijana tuoe, Ndoa Zinakuja na baraka zake[emoji4]
Kwa hiyo mama J anatembelea nyota ya mwenzake, sio?🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom