Kipi kimewafanya wadada kuwa tayari kuolewa upesi upesi?

Kipi kimewafanya wadada kuwa tayari kuolewa upesi upesi?

Umenikumbusha demu mmoja nilimwambia nataka kumuoa basi kaleta maringo weee

Siku alivo sikia naoa kachanganiyikiwa.
Na yeye haikupita hata miezi miwili akaolewa. Sasa sijui alikuwa ana mkomoa nani mshenzi yule.

Sasa baada ya kuolewa akawa ana nitafuta kila kukicha si wife akakuta message bana. Wacha amchambe mtoto wa watu. Mpaka na leo sija mtafuta japo najua siku akiiingia kwenye18 natengua kizazi.
 
Psychology ya ndoa iko hivi
Wanawake wana type ya wanaume wao wa kuwaoa au kutoka nao.

Sasa ile rate ikiianza kushuka kwa maana wale wanaume wanavo oa wanawake wengine au kuwa busy na mambo yao.

Zile choices zina anza kupungua.

Sasa akisha ona hivo ndio anatafuta bora liende. Ndio utashangaa mbona leo kanikubalia wakati siku zote ana kataa.

Kesha ona hana maajabu.

Mfano. Kila siku asubuhi message kumi na "good morning" tena vijana wenye mipango ya mjini. As the day goes wanapungua lazima apagawe.
 
Unaweza fikiria kuwa natania lakini hii ndio hali halisi kwa sasa, wadada wamekuwa wepesi sana wa kukubali ofa za kuolewa tofauti na hapo awali, sasa hivi kama geto kwako una kitanda, godoro, jiko gesi na henka za kutundikia nguo hukataliwi kabisa kuoa /kuwoa tena na pisi kali kinoma ambazo zamani zilitaka wenye vitambi & tubaby walker
Matoeo ya sensa mkuu
 
Ndo maana huwa tunasema
Mwanaume ndie anakosea kuoa
Ila hakuna mwanamke anaekosea kuolewa.

Wanawake wengi wana maono ya mbali.
Unaweza kujiona HunA pesa Wala Mali kwasasa, ila mpenz wako keshaona utakuja kua na pesa sana baadae.

Kwaiyo
Huamua kujitosa hivyo hivyo pesa na mali atakutana navyo mbeleni uko.

Ukishaoa ndo ushangaa pesa na mali jinsi zinavyoflow upande wako.

Ndo maana matajiri wengi ukiwauliza,
Watakwambia wamepata Sana Mali baada ya kuoa.

My Confession,
Mi mwnyw pesa ya kubadilishia mboga,ela ya bia, posho ya meza nyumban na kwa Michepuko yangu vyote nmepata baada ya kuoa.

Wito wangu,
Vijana tuoe, Ndoa Zinakuja na baraka zake[emoji4]
Umelipwa sh ngapi kuja na hii kampen kubwa hivi?we ongeza tu mchepuko ila si tuache tu na maisha yetu...hatutak kuja kuyakanyaga..kama umebahataka kupata mke mweny maono na akili shukuru tu Mungu...ukiambiwa urud sokon kwa sasa kutafuta mke wa kumfika hata robo ya ulie nae hutapata
 
Back
Top Bottom