Huyu jirani yangu kiukweli anajitahidi. Siku moja nitafunga safari nikapate biriani pale Morocco aisee.Mastar wabongo wanaofanya biashara kwa kujituma na mambo yanaenda
1. Esha salim buheti...huyu dada ni balaa kweye misosi
2. Shilole...nae ni mama ntilie biashara inakua
3. Jack wolper....house of bwangaz,huyu mchaga haa mchezo,
4.b dozen.....born2shine, huyu anajitahidi sana
Hizi ni biashara zakawaida zisizohitaji kiki na zinaenda fresh tu
Ipi hiyo hebu ninong'onezeHata ile biashara kongwe kuliko zote umeshawahi kuifanya mtoto mzuri ?
Wa nyumba nyeupeMama msukuma yupi?
Bila kumsahau JuksiMastar wabongo wanaofanya biashara kwa kujituma na mambo yanaenda
1. Esha salim buheti...huyu dada ni balaa kweye misosi
2. Shilole...nae ni mama ntilie biashara inakua
3. Jack wolper....house of bwangaz,huyu mchaga haa mchezo,
4.b dozen.....born2shine, huyu anajitahidi sana
Hizi ni biashara zakawaida zisizohitaji kiki na zinaenda fresh tu
sabab sio wafanaya biashara!!Lakini kitu kama kinalipa kweli mtu anashindwa vipi kukiendeleza?
Labda project imefika kikomoNazo kimyaaa. Hata sisikii matangazo radioni na hata sioni zikitembezwa kwenye foleni.
Anamuongelea Makonda ?Mama msukuma yupi?
Kuuza papaIpi hiyo hebu ninong'oneze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]yule mwingine akasema naidhamini timu kwa mil40 kupitia kinywaji changu. mwisho wa siku akageuka mcheza mpira wa hiyo timu.Wanakoseaga kuzitambulisha biashara kuwa ni zao.
Hawana ukubwa huo wasiwaige wakina didy wenzao wana mashabiki wengi duniani na wamefocus kwenye biashara
Hapa bongo haters wengi kuliko mashabiki inategemea nini?
mimi Yanga nanunuaje bidhaa za haji manara[emoji1787],Simpendi diamond nanunuaje chibu perfume
Bei kubwa - ukizingatia mashabiki wengi ni waTz wa hali ya kawaida hio 150k ya kununua perfume wanaitoa wapi?
Ubora mbovu
management mbovu - biashara haina usimamizi wa maana/ sio wabunifu
Biashara nacho kipaji jamani.
Hahahaha, wakati angewaambia wakienda uwanjani,wapige vipensi vyao ,jezi na unyunyu wa Della bossTatizo wana tegemea jina mtu kama Manara ana watukana wana Yanga juzi ana sema Zesco wasije na washangiliaji wao wapo utegemee mwana yanga anunue manukato yake hawajui biashara nini mdomo una weza kuathili biashara usipo uchunga..Pia biashara ina itaji mbinu na plan usitegemee jina
Hivi haji alishindwa kutumia ile idadi ya mashabiki wa Simba kuingia uwanjani kuwauzia, perfume wanukie huku wanashangilia ushindiTatizo wana tegemea jina mtu kama Manara ana watukana wana Yanga juzi ana sema Zesco wasije na washangiliaji wao wapo utegemee mwana yanga anunue manukato yake hawajui biashara nini mdomo una weza kuathili biashara usipo uchunga..Pia biashara ina itaji mbinu na plan usitegemee jina
Biashara ina ntu na ntu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]yule mwingine akasema naidhamini timu kwa mil40 kupitia kinywaji changu. mwisho wa siku akageuka mcheza mpira wa hiyo timu.
Ama kweli biashara sio kwa kila mtu.
Duh kweli umenichokaKuuza papa
Unaingia biashara ya perfume kushindana na brand zipi? Labda kama soko liko kwa Tandala kwa Mtogole au ManzeseDellaboss perfume ya Hajji manara hii aliizindua kwa mbwembwe zote huyu msemaji wetu wana msimbazi. Lakini sasa kimyaa hata mwaka haijamaliza.
Mofaya ya Alikiba, hii ni kama sijui kufata mkumbo maana tangu aizindue sikuwahi kukutana nayo kokote.([emoji3]sijui ndio kusema hapendi show off)
Chibu perfume ya Diamond. Hii nayo sioni chochote kikiendelea. Ila walio wahi kuitumia wanasema ni ya kawaida sana na bei ni kubwa mno(bei haiendani na bidhaa ni kama alikuwa anauzia jina)
Fynebyfalsafa ya Hamisi Mwijuma (mwana F.A), hii nayo naona kama haina maisha marefu maana hata promotion imepungua sana.
Mnaweza kuongezea biashara zingine za hawa ndugu zetu zilizokufa kifo cha mende.
Je, huwa wanakwama wapi labda?
Mo Pamoja na kuimiliki Simba uwezi kumkuta akiongelea vibaya Yanga ana jijua yeye ni mfanya biashara watu wana weza kumsusia biashara zake..Sasa huyu ndugu yetu ye hajui..Hivi haji alishindwa kutumia ile idadi ya mashabiki wa Simba kuingia uwanjani kuwauzia, perfume wanukie huku wanashangilia ushindi
'Bila kunukishana jasho'